kwa muda mchache niliotumia kusikiliza nimeona kazi yenu ni safi sana. Pia kwa haraka nimegundua kasoro moja wimbo wa “sina ndugu” ulicharazwa na maquis du zaire sio marijani rajab kama inavyosomeka katika orodha ya nyimbo zenu. mengine yakiwepo sitasita kuwajulisha. asanteni sana kwa hii zawadi ya new year.
Good job done.like us old timer we do need this type of tune/hits to remid us our good old days.
so how can i get the CD of zilipenwa
I am in Toronto,Canada
Also i would like to have Novelle Generation by Lipua Lipua plus Kamiki Yeye
Nime furahi kuona kuwa mtukumbuka hata sisi wazee wa zamani kwa kutuanzishia blog hii ambayo tunaweza kupata kitu ile roho inapende. kazeni but
khalid mohammed on
January 3rd, 2008 11:50 am
hi to all!!!!!!!!!!!!!
Ron on
January 3rd, 2008 12:50 pm
Thank you Jambonet for this wonderful collection!
Miziki hii inanikumbusha mbali sana. Ninapoisikiliza hukumbuka mambo
mengi, sehemu nyingi nilizowahi kuishi na watu wengi niliokutana nao ambao kwa pamoja tuliisikiliza, kuifurahia na tuliicheza. Asante sana!
Je ninaweza kuinunua hii collection kama ilivyo au kuchagua baadhi ya nyimbo.
Tafadhali nijulishe kupitia anuani hiyo hapo juu.
Asante sana.
steven kimaro on
January 3rd, 2008 1:53 pm
Ee Bwana sio mchezo nafagilia sana hii blog,tunapata burudani safi,japokuwa sikuwepo enzi hizo itakuwa poa kama mkiweka na bongo flava pia.
zeby on
January 3rd, 2008 1:55 pm
napenda hii collection je naweza kuinunua kama ilivyo. tafadhali naomba kujulishwa.
Matulanya on
January 3rd, 2008 1:59 pm
mdau nakupa hongera zangu za uvunguni mwa moyo wangu kwa kuweka site hii ya oldies..hao vijana wa les wanyika wananikosha sana roho niwasikilizapo…keep it up man..nimeipenda kazi yenu
wabeja sana
xuma on
January 3rd, 2008 2:27 pm
Mungu awabarikini jambo network. Niko RTP North Carolina na nilikuwa mpenzi mkubwa wa most of these songs especially kutukumbusha utoto/maisha yetu na kuturudisha karibu zaidi na nyumbani. Keep up with a good job
NIMEFURAHI SANA KWA KUSIKILIZA ZUKU HIZI ZA MONICA SEKA…………..YAANI ZIMENTACHI ILE MBAYA MPAKA NIMESHINDWA KUFANYA KAZI, SIJUI NTAMUELEZA NINI BOSI WANGU, BWANA MICHUZI UNATISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Gilbert on
January 3rd, 2008 3:15 pm
I must say this web remind me of those good days! Keep it up guys.
Paul Nyingo on
January 3rd, 2008 5:40 pm
AAAAAAAAAAAAAAAAAAAA HII MFUENI YA LIPUALIPUA IMENIKUMBUSHA FAR KINOMA KAZENI BUTI WAZEE
Gallus on
January 3rd, 2008 6:18 pm
ah jamani kuna siku huwa zinaganda, sasa kwa mtindo huu wa hizi zilipendwa jamani nadhani nimepata kitu muafaka kufanya siku iwe njema huu wimbo wa franco Nabari misele umenikumbusha miaka ya 1980,1981,82, 83 kule Sumbawanga, my father alikuwa na hiyo kanda kweli mmenikumbusha mbali mno BIG up sana, natumai mngeweza kuuza hizo collections mwaweza kuwa ma MIlionea,
Mambo murua
Baada ya kusikiliza baadhi ya nyimbo, kweli mumefanya kazi kubwa asilimia kubwa imegusa miziki yote iliyopendwa na inayoendelea kupenwa.
Hongera sana kwa kulendeleza Libeneke.
Bado tunalakujivunia wakati wetu ulikuwa babu kubwa,hivyo Kizazi kipya hakitubabaishi.
Keep up the good work. And please don’t shut or close down the website.
We do need This Website to keep our spirit alive and high.
Ubunifu wenu unastahili kupongezwa, binafsi nimeburudika na kukumbuka miaka ya 78, wakati nikiwa nasikiliza sana radio Bujumbura, jioni.
Ombi langu kama mtaweza, tafuteni nyimbo za mzee john ondoro chacha(kwa sasa nadha yuko Dar kule shekilango)zinapatikana KBC, na zile za Frenk Humblicks na dada zake, kama wimbo wa vipembe. Vinginevyo ninawaheshimu kwa utundu wenye kuleta furaha mioyoni.
Julius Katanga on
January 3rd, 2008 8:44 pm
This is owesome.
Most of listeners will agree with me when I call this website ‘off the hook’.It drives me all the way back in days where we used to shake our junk and trunk.I,personally, appreaciate the good job you guys are doing.I currently reside in DC but when I listen the old skool through this web and watching TVT,Star TV and chanel 10 through jump TV, I down deep feel my sweet home Tanzania.Thank you Michuzi and whoever enginered to do this mgnifficent job of putting this polluted planet into our finger prints.
Congratulations.
Concord on
January 3rd, 2008 9:05 pm
Mambo mazito haya….inanirusisha miaka ileeee Jeans za Michael Jackson,Shati zajuliana,kung fu shoes na za ujiuji…
KEEP IT UP…..
Lazaro on
January 3rd, 2008 9:35 pm
Asanteni kwa nyimbo zilizopendwa, niusikiapo wimbo wa sisili na masasu nakumbuka nilipokuwa mdogo naishi Keko machungwa.
Yaani natamani kulia kwani mtu unatamani maisha yale ya muda huo yarudi tena, kitu ambacho hakiwezekani.
Pia nawakumbuka wale wote walitutoka na ambao nilifurahi nao wakati huo. ndugu na jamaa pia.
Site bombaa sana hii nyimbo zinanikumbusha mbali saaana yani keep it up.
Born 2 Suffer on
January 3rd, 2008 9:40 pm
Yani hutamani kuondoka katika Computer
MICKEY JONES - COPENHAGEN DENMARK on
January 3rd, 2008 11:01 pm
Ukumbusho mzuri wa enzi hizo za ujana wetu……kazi mzuri mliyoifanya ya kutupa burudani za mwaka mpya 2008!!!
Miss Hoffm.. on
January 3rd, 2008 11:04 pm
Hi guysssss mmenifurahisha sana tena sana nakumbuka mabao mengi na mambo mengi , oooh sijui niseme nini… God blees u… ever
Sasa tukitaka hizi collection tutapata vipi? Happy new year
Its absolutely the bomb!!! Thank you guys for taking me back to the good old days!!
:o)
MICKEY JONES - COPENHAGEN DENMARK on
January 3rd, 2008 11:33 pm
Zilipendwa zimetupa “GET IT TOGETHER” ya furaha hadi hivi sasa bado tupo katika sherehe ya kukumbuka enzi hizo za zamani tukiwa huko nyumbani - Bongo…tunaendelea mpaka usiku …ingawaje wamekosekana Mbaraka Mwinshehe, Patrick Balyisidya wa AFRO- 70 na Shabani Marijani kuongezea furaha ya zilizopendwa…tumefurahishwa na hii kazi yenu kwa sasa.
BADO TUNAENDELEA TUTAKUAGENI TUKITOWEKA……..
Tuma Dandi on
January 3rd, 2008 11:43 pm
nawapongeza timu yote iliyoshiriki kufanikia sisi wazee wa sasa na vijana wa zamani kupata nyimbo hizi. nauliza swali, je twawezaje kuzipata nyimbo hizi kwenye cd?
mwisho kabisa, kuna baadhi ya nyimbo title zake siyo za kweli na waimbaji wake, nafikiri ni kasoro ndogo mnazoweza kurekebisha, vinginevyo nawapa shavu!
Kwa kweli nawafagilia sana blog hii kwani wananikumbusha mbali sana ,japo kumekuwapo na kusitasita au kukwama kwama kwa nyimbo laki ni bomba sana.Ningefurahi sana iwapo ningepata CD za nyimbo zote za zilipendwa kama ilivyo kaktika orodha yenu.
Robert Eli on
January 4th, 2008 1:28 am
Nyimbo nzuri na zimetulia kwa kweli zinatoa liwadha yakikweli kweli na nadhani ni dedication pia kwa wenzetu wanaoteseka Kenya kwa sasa. Tujulishe tutapataje CD au tupe offer ya kuzidownload,kazi njema,keep it up! Hali kadhalika zinaelekeza jamii yetu kuthamini miziki yetu ya asili ya Kiafrika maana sio ya kishenzi as baadhi ya wadau wanavyodai!
steven kimaro on
January 4th, 2008 2:06 am
Aisee nawafagilia sana kwa kazi nzuri mnazofanya.,yaani mimi sasahivi kila napotoka shule ni lazima nijiburudishe na zilipendwa,naomba kama tunaweza kupata CD itakuwa poa sana,watanzania wengi hapa luton uingereza wanazungumzia zilipendwa,aksante sana.
Nimekubali! hii mwisho… yaani napata “Kasongo yeyeee…” Super Mazembe hao… Na huku Mbaraka anakwambia nimehamia Mtaa wa 7! Shekhe nashukuru saana kwa hii site - please keep it up… more musik
Ganje on
January 4th, 2008 3:41 am
This is great guys you are fantastic i would like to thank you so much for reminding me the good old days, so keep it up i know its early stages, however i would like you guys to stick to strictly African not Phil Collins and Elton John on this list next time when you edit please add artist such as jb mpiana and werrasson or wenge bcbg and zaiko. thank you very much
sinda on
January 4th, 2008 5:51 am
hey shukurani to everyone who has a hand on this, it brings memories. sasa keep it up kazi nzuri. kaza buti!
thank you
Hery on
January 4th, 2008 6:02 am
Nimeipata leo jioni hii website. Sijapata muda mzuri wa kusikiliza nyimbo za kunitosha. Nitaendelea nayo jumapili. But it seems like this is what i was looking and waiting for. Babu kubwa wadau wa hii website kwa kutukumbusha zamani sana ndani ya Bongo.
Hery in Connecticut, US
Nimefurahishwa na Collection zenu hizo za zilipendewa Ninataka kuzisilikiliza nitafanyaje ili niwe nasizisikiliza kupitia blog yenu hii hii. Naomba Nitumie kupitia E-mail yangu ili niweze kuburudika.
Cloud on
January 4th, 2008 7:52 am
Yaani ninyi ni funika bovu, sijui hata cha kuandika maana mmenikumbusha mbali ile mbaya na moyoni kupata burudani.
Wakati mwingine najikuta ninacheza au kuimba hizi nyimbo na niko kibaruani, acha tu. Sasa inakuaje maana kuna amethubutu kuniambia nimuwekee kwende CD nyimbo hizi zilipomkuna nikamueleza haiwezekani yeye ananiambia nifanye jitihada zote hahahahahaaaa inakuaje bhagosha. Na hatoki hapa kwenye computer yangu yeye anataka nyimbo tu.
agnes on
January 4th, 2008 9:34 am
mm mbona siwapati???najaribu lkn sisikii nyimbo zenu
betty on
January 4th, 2008 11:09 am
Well done, thanks you so much.
Jane on
January 4th, 2008 1:07 pm
Jamani mie nazipata ila zinakwamakwama sana, sizipati straight, natamani ziimbe moja kwa moja, nifanyeje? au ni udhaifu wa komputa yangu? nisaidieni mzee mwenzenu niachana na haya masebene ya watoto wa ubongo wa fleva!!
joshua on
January 4th, 2008 2:11 pm
Nimefurahishwa na hizi zilipendwa yaani wewe acha tu zinanikumbusha enzi za miaka ya themathini nikiwa bado mdogo.
Thankx Michuzi, ila duh nyimbo ukisubiri iimbe inaaanza kwa bits fresh ila inakata kata sana hebu fanya makalavee mambo yawe smoooooth!! ila hongera sana
mfullah on
January 4th, 2008 2:39 pm
kweli nimefurahi, nime-enjoy maana inanikumbusha mbali sana kwani wengine tumekwisha kua wazee,
so kee it up guys
joshua on
January 4th, 2008 3:17 pm
Mungu wape ufahamu wa kutupatia miziki ya zamani kwani niukumbusho kwetu sisi vijana wa zamani.
aloyce on
January 4th, 2008 3:32 pm
Miziki hii inankumbusha miaka ya themanini enzi nikiwa naanza shule ya msingi kwaujumla ni miziki mzuri sana asante
Gilbert on
January 4th, 2008 4:31 pm
Like Zeby asked, is it possible to buy collection this collection from you? Waiting for your reply.
kweba on
January 4th, 2008 5:22 pm
kheri ya mwaka mpya jambonetwork! hongereni kwa kazi hii nzuri kuturudishia ‘an alternative’ katika burudani hii ya muziki!! napenda kusahihisha kidogo hapo kwenye playlist yenu: wimbo ‘africa liberte’ uliimbwa na franklin boukaka toka congo na siyo dibango, wimbo ‘misile’ naona???? huu umeimbwa na tp ok jazz chini ya freddy mayaula mayoni. hongereni saana !
mike on
January 4th, 2008 5:46 pm
oohn mdau hii miziki unaweza kushiba bila kula enzi hizo hata ndege walikuwa wanaimba ,siku hizi ni kunguru tu.hongera sana kwa mpangilio wako mzuri wa the old school.
Dennis Mwendwa on
January 4th, 2008 6:12 pm
kwa kweli jambonet nawapongeza sana kaw kazi nzuri na mkusanyo mzuri wa nyimbo za zamani ili hata sie tulio huku ughaibuni tuweze kukumbuka enzi zetu huko nyumbani.
hii ni zawadi nzuri sana kwa mwaka huu, naomba kama mtaweza pia wekeni wimbo wa “homa imenizidia”
pongezi nyingi toka uingereza!!!!
kheri ya mwaka mpya kwa watumiaji wote wa globu hii!
mtilila yassin on
January 4th, 2008 7:26 pm
Hii web ni babu kubwa,kwakweli naikubali kazi yenu kwani inatufanya tukumbuke mambo mazuri ya zamani,binafsi vibao kama Maze na Ibeba vya Tabulei na Boreau deq bonyenye–Madilu Coeurs!! aaaaa we acha tu,yaani vinanikumbusha enzi za Disco.
jaki on
January 4th, 2008 11:55 pm
Mdau weye kiboko, nimeacha kufanya assignment natakiwa nisubmit kesho morning, nala tu mziki wa zilipendwa, umenikumbusha utotoni mzee.
Hey! Ilove this collection! I mean it is awsome, wonderful and I enjoy every minute I listen to it. I just missed one song JULIA of KOFI OLOMIDE, can somebody get it from somewhere! I can buy the collection just let me know how! Congratulation to Jambo Forum!! Asante sana
Rizy on
January 5th, 2008 3:29 am
nyimbo zimenifurahisha sanaaaaaaaaaaaa………zanikumbusha mbali hadi zataka kuniliza………………….kazi nzuri sana………….safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
william on
January 5th, 2008 3:33 am
Jamani tunaomba kuchangia nasi kwa kazi yenu hiyo nzuri kwa kununua CD zenu,hivyo tujulishabe ni namna gani tunaweza pata hizo collection.
Festo Damian on
January 5th, 2008 4:52 am
Ahsante kwa kunitumia huu mtandao. Kwa kweli mambo naona ni poa kwani nyimbo hizi zimenirudisha home kabisa !!!
Festo
mwita chacha on
January 5th, 2008 2:49 pm
Going back to those years where audio cassette were not fond in TZ ,most yof these song were availlable on Disic plate( santuri).You guys you are bringing back my childhood ! Good job, keep it up.
kweba on
January 5th, 2008 5:55 pm
hongereni sana wana jambonetwork kwa kutupa nafasi ya kukumbuka tulikotoka.naomba kutoa masahihisho kidogo hapo kwenye playlist: wimbo ‘africa liberte’ uliimbwa na franklin boukaka toka congo brazza; na wimbo ‘misile’ ni wa tp ok jazz chini ya mayaula mayoni.
Dj. PM on
January 5th, 2008 9:38 pm
Ebwana si mchezo!!!! inabidi mtafute means za kuuza hizi nyimbo, keep it up!
Matulanya on
January 5th, 2008 11:33 pm
Mdau Tuwekee nyimbo za wana TOMATOMA kama nyimbo zi[po kwenye library yako.Baadhi ya nyimbo zao zilizovuruga watu akili enzi hizo ni kama ….nachelewa Stendi ya basi na laiti moyo ungekuwa na kifuniko…. Ingawa bendi hii haikudumu sana kwenye ulimwengu wa muziki wa dance ila ilitoa vitu vizuri vilivyopendwa…km vipo itapendeza mkivijazia humu tujikumbushe enzi hizo
Joyce on
January 6th, 2008 4:03 am
Oh wow…nilitaka kulia wimbo wa sikinde “Ubaya uliuanza zamani…” jamani nilikua std 2 huu wimbo ulikua unachaguliwa na wafanyakazi wengi tu katika kipindi chao cha wafanyakazi… Kikianza tu basi nakurupushwa kaoge shule karibuni…….Nilikua naenda shule saa sita na nusu
Those were the days….. I miss so much those days……
I hope watoto wetu wa kizazi hiki nao wakikua watakumbuka good times na wazazi….mhhhh I doubt watakumbuka mananny, baysitter, playstation, ipod and myspace…
Datch Mkally on
January 6th, 2008 6:11 am
Yaani maendeleo ni pamoja na kuchukua yale bora ya zamani. hivi vitu kwa sasa ni agharabu kuvipata na wala havipatikani TENA . unanirudisha nyuuma kiasi nashindwa kupata maneno mazuri ya kusema lakini hii web kwa sisi vijana wa TANU NA ASP ni machozi tu unaposikiliza hizi nyimbo. KAZA BUTI MICHUZI UNANIKUMBUSHA ENZI YA SAFARI RESORT bado ukiwa mvulana. ENDELEA KAZI NI NZURI , TUKO WENGI NYUMA YAKO
Datch Mkally on
January 6th, 2008 6:15 am
Samahani MICHUZI , huo wimbo wa AFRICA LIBERTE kwa kumbukumbu zangu haukuchezwa na MANU DIBANGO ila huo wimbo umechezwa na FRANKA BOKAKA fanya marekebisho NAIKUBALI KAZI YAKO
Paul Nyingo on
January 6th, 2008 6:33 am
jamani jambo mtatuuwa kwa kufikiria enzi zetu yaani hawa shikashika wananikumbusha pale Ifakara sekondari -IFOZA-MACHIPI kwenye madisco ya sherehe za mabweni miembeni nk NGONGI AMON NGONGI ,SEZALI YULIAN etc mnazisikia hizooooooooooooo hii ni ile miaka ya 1979-1983
jo lipaki on
January 6th, 2008 7:34 am
hongera sana ila ningependa nyimbo ya mtu mzima hovyo na bi nasma kidogo
Mafuru masatu masangara on
January 6th, 2008 4:41 pm
Kazi nzuri sana hapo nawapongeza.Mmechanganya sana aina mbalimbali za miondoko ya muziki ni bora mngesort kulingana na aina ya music au geographical zone au hata inchi hii ingeleta ufanisi zaidi, lakini sasa kuna maharage, choroko, maini na matembele ndani ya chungu kimoja.Ni ushauri tu vinginevyo jitihada zenu zinaonekana.
Najisikia nipo home uzingatia hapa Ughaibuni hatuna jinsi ya kuburudika na vitu adimu kama hivi. Hongera kwa Michuzi kwa kuturushia na zaidi kwa wana Jambo Net kwa kazi nzuri ya uandaaji. Cheers!
Hata huku kwa wenzetu Wahindi tumezipata za enzi za ‘Bumping’ Yenu Bar Kinondoni enzi hiizzoooooo!!!!!! Nawafagilia sana. Kazi nzuri
Paul Nyingo on
January 7th, 2008 5:10 am
Nazidi kuwakubali hebujaribuni kuzitafuta na za mtu mmoja MTZ mwenzetu anaishi Japan anaitwa Fresh Jumbe Waziri Mkuu, zake za zamani zimetulia sana eg,mazingira yetu ,conjesta alipiga akiwa Nginde nk
Alex on
January 7th, 2008 8:59 am
Asante sanaa kwa hizi nyimbo zilizopendwa —-shukrani kuzilete zote pamoja
Boney on
January 7th, 2008 12:04 pm
Hakika kwa mtu wa enzi zetu anaguswa vilivyo na vibao hivi. Langu ni moja je utawezaje kusikiliza hizi nyimbo bila ya kusuasua? Sipati mtiririko mzuri zikipigwa zinakwama mara kwa mara, njia gani nitumie?
Otherwise big-up kwa wana blog wote. Cheers.
sasa on
January 7th, 2008 3:35 pm
Website nzuri collection ya muziki bomba sana ila please kuna wimbo uliimbwa na eddy shegi uitwao milima ya kwetu, kama utaupata na kuuweka kwenye list itakuwa zawadi kubwa mno.
Monnie on
January 7th, 2008 8:56 pm
sina la kusema nasikia kulia tuu nikisikiliza hizi nyimbo pale zinaponikumbusha wakati wake,wapi na akina nani nilikuwa nao. wengine ni marehemu, wengine tumepotezana sijui wako wapi.Kwa kweli nawafagilia sana Jambo network kwa burudisho walilotuletea.Natamani kurudisha wakati nyuma lakini haiwezekani miaka ya 70 na 80 kwa kweli tulienjoy maisha .
Sindbad on
January 7th, 2008 9:17 pm
Baab Kubwa, nafurahi sana kupata nyimbo za zamani hapa nakutakieni kila la kher na mafanikio .
Ps
Mickey Jones wa Copenhagen tafadhali chukua email adress hii ili tuwasiane kuna mambo mengi tuongee( jamalbaba@hotmail.com) tafadhali usidharau tunajuana
mickey Jones tuwasiliane kwa email hii jamalbaba@hotmail.com
muhimu sana tunajuana ila tumeachana muda mrefu
MICKEY JONES on
January 8th, 2008 7:29 pm
Safari hii tumpe hongera Issa Michuzi kwa kuturudisha katika enzi hizoooo ambazo mziki ulienda pamoja na ushabiki wa mpira katika wakati wake wa ujana….sijuwi kama Sunday Manara,Chitete,Bonna Max,Adolf ukimtoa marehemu Mwijage na Kikwa watakubaliana na mimi….
Jamalbaba nikumbushe kidogo ulikuwa kundi gani? mimi nilikuwa The Heroes na The Groove Makers na timu ya Taifa wote walikuwa washikaji….nikumbushe ndugu Jamal mickey@mail-online.dk au blog ya Issa Michuzi napiga hodi mlangoni kwake kila siku, nina mipango ya kumletea Michuzi rafiki yake “GERALD” wa LIVER-MAINI. kwa furaha ya kutupa burudani za kila siku toka bongo na ulimwengu wa nje…..Jamal burudika na zilipendwa unaikumbuka Geogina ya Marijani na Kasuku ya Afro 70?
Nawashukuruni nyote kwa kuweka maoni yenu juu ya kazi hizi tulizowawekea japo naona wengi wanamwambia mheshimiwa Michuzi aongeze nyimbo ama apunguze.
UKWELI:
Tutaendelea kuongeza nyimbo kadiri tunavyoweza na kuzitenganisha. Wale waloomba tuweke na taarab ni kuwa natarajia by next month naweza kuwa huru na kuzipandisha hapa.
TAHADHARI:
Epuka kuweka comment yako ikiwa imeambatana na barua pepe yako mfano kimeo@baabkubwa.com maana spams zitajazana kwenye inbox yako. Badala yake andika kimeo-AT-baabkubwa-DOT-com na unayempa barua pepe hiyo ataipata.
MWISHO:
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu mimi pamoja na crew yangu. Tunasikitika kwa wale wanaolalamikia kuwa eti nyimbo hazichezi vema ama zinakoroma. Ni kuwa mtandao upande wenu uko na speed ya chini na njia mbadala ya kucheza miziki hiyo ni kuhakikisha computer yako kwanza ina Adobe Flash Player. Kama haina basi hautaweza kuipata miziki hii. Fanya kuvumilia kwa kubofya PAUSE ili miziki ijikite kwenye computer yako kwanza kisha anza kukandamiza mmoja baada ya mwingine.
Nawatakia furaha katika mwaka 2008 na tuendelee kuwa pamoja. Hatupimi… Tangu 2004 na bado tunakuja tena kwa nguvu nyingine kubwa zaidi.
Kwa wale wenye mawazo ama ushauri msisite kutufahamisha. Kwa kuandika comments tu hatutaweza kuzisoma zote. Ujumbe ambao ungependa niushughulikie haraka sana ama kuufanyia kazi basi naomba utume via email kwa mac-AT-jambotanzania-DOT-net ama kwa namba ya simu tuma +255 713 444 649
Karibu
Ideka on
January 8th, 2008 10:25 pm
Kwa ujumla mimi nimefurahia sana, swali langu kubwa ni kwamba, ninaomba kununua hii collection yote, tafadhari sana naomba unijibu.
anuani yangu ipo hapo juu.
Kwa haraka zadi unaweza kunitumia tex katika number, {HIDDEN FOR SAFETY}.
Asante,
Ideka
MICKEY JONES - COPENHAGEN DENMARK on
January 8th, 2008 11:02 pm
Mac ( Maxence)
Tunashukuru kwa “dosier” yako kuhusu maendeleo ya hapo baadaye kwa wale wapenzi wa Taarab,kuhusu tatizo la nyimbo kutosikika vizuri,huku kwetu Scandinavien hatuna matatizo hayo,tunavipata vibao vyote vya enzi hizooo zetu za ujana bila wasi…..wape pole jamaa wenye mtandao uliyopitwa na wakati wake,maana wanakosa utamu wa kazi yenu…pia ilikuwa vizuri mlimsitua Michuzi, bwawa la maini mambo si mazuri kwa sasa amejiburudusha na zilipendwa kama sisi huku Scandinavien!!!
Mfinanga, A on
January 9th, 2008 10:04 am
Keep up the good work my brother! nipozisikiliza hizo nyimbo, zinanipeleka mbali sana, haswa kwa sisi tulio mbali na nyumbani, natamani kuruka na ndege sasa hivi kurudi home. hayo ndiyo mambo wakati nikiwa Tambaza na Azania, kama tunaweza kurudisha miaka nyuma sijua ya mungu makubwa!!!!! great job guys keep it up.
daudi mapande on
January 9th, 2008 10:37 am
jamani hii aza umeniumbua inanitoa machozi hasa niisikiapo sauti ya chiriku Hemed Maneti Ulaya na wakati huu awamu ya pili ikiwa imeshika hatamu.
Mungu ailaze pema peponi roho ya Maneti na wengine wote waliotangulia mbele ya haki.
steve on
January 9th, 2008 2:46 pm
nawafagilia wote walioanzisha blog hii yaani mnanikumbusha mbali sana najihisi kama nipo peponi vile mbarikiwe sana. mwaka mpya mwema nduguzanguni
nanyanje on
January 9th, 2008 3:07 pm
Nyimbo ni safi kabisa na nina uhakika mtaongeza nyingi nyingi kama za hayati Franco Rwambo Makiadi, Msondo,Sikinde,Marquis Original, Masantula nk.
Ila kilio ni kilekile cha wengi ukipiga zinakwamakwama kuimba mpaka uhondo wote unakwisha.
masore on
January 10th, 2008 8:27 am
Mbona kimya hakuna zilipendwa wala vijana wa zamani
Said Nanyanje on
January 10th, 2008 3:43 pm
Nyimbo ni safi kabisa na nina uhakika mtaongeza nyingi kama za hayati Franco Rwambo Makiadi, Msondo,Sikinde,Marquis Original, Masantula nk.
Ila kilio ni kilekile cha wengi ukipiga zinakwamakwama kuimba mpaka uhondo wote unakwisha.
slia on
January 10th, 2008 8:31 pm
whats a hell this songs are nice i like them. keep drives us crazy
Good job Guys! i admire your work Big Time!! Do you have any tracks from PAT SHANGE though? Would appreciate one or two of his great numbers!!
Keep strong, cheers!
:o)
abdu on
January 12th, 2008 4:58 pm
Thank you mumenikumbusha mbali sana nyimbo ambazo huku ulaya ni Diamond japo ni za kale.tupeni nyingi hasa za bendi za dansi za KI BONGO ZAIDI.
deo on
January 12th, 2008 6:20 pm
Wadau chukueni muda kusikilizeni website hina kila collection zote.chukua zaidi ya muda wa massa mane utashangaa, hata wale wanaosema kwamba hawawapati wapendwa wao , nikwamba take ur time this web is supere dupa.kilakitu kipo
mimi on
January 13th, 2008 2:11 am
KWA KWELI MIE SIJUI NISEME NINI KAZI MLIYOFANYA NI KUBWA NYIMBO HIZI ZINANIKUMBUSHA MBALI SANA ENZI HIZO ZA GETI KALI HAPO KWA MZEE NANII HONGERA SANA NDUGU ZANGU
Okey, Nimeifurahia sana Taarabu ya mzee Bibi yetu Kidude “sikuachi leo na kesho peponi”, Mpe hai sana Bibi yetu hapo Nyumbani Dar. Nimeituma hii kama Dedication kwa Mke wangu Mpenzi aisikilize hapo home Dar-Tz kila jioni kabla hajalala. Za kale Zahabu Kweli bwana.
Hi, kwa wote wanaofagilia zilizopendwa, nashauri kama mkiweza Msituchanganie nyimbo, tupeni za kibongo tu sisi wabongo ili tupate kufaidi nyumbani tu toka mwanzo mpaka mwisho kwani zinakumbusha sana Nyumbani, tunatamani sana kurudi nyumbani muda nao ndiyo hauendi haraka kabisa tumalize turudi kwetu Bongo tukae na familia zetu kwani tunahisi upweke sana kwetu na familia zetu kutukosa kwa muda mrefu.
Leo- U.S.A
Catunda on
January 13th, 2008 5:59 pm
Kazi nzuri sana kwacollection hiyo kwani ni kazi sana kupata miziki hiyo ya zamani na iliyokuwa ikipigwa kwa utaalam mkubwa ndio maana mpakaleo bado mizuri ..
Ila kitu kimoja Programmer wenu inatakiwa awajue wanamuziki na nyimbo zao kwani nyimbo nyingi zimeandikwa artist tofauti na muziki wenyewe
Catunda USA
lulu jerry on
January 14th, 2008 2:23 am
Hej Yaani sijui niseme nini tu kwanza nakaribia miaka 40. lakini, kuna nyimbo zimeni touch saaana. kwani nilikuwa mtulivu wa maisha yangu lakini mpenda saana wa miziki na kutoka na marafiki zangu kudansi. Ila tu naona ule wimbo wa mama yake na Sofia mwimbaji siyo wa Tanzanite Band. Lakini kazi mliyoifanya ni Weldone 100%. Keep It Up.
dennis on
January 14th, 2008 10:16 am
This is great, keep it up please.
St Louis MO USA
Robi on
January 14th, 2008 11:42 am
C mchezo inapendeza hasa kwa watu kama cc yaani wale vijana wa zamani, c utani nimezifurahia sana nyimbo hizi nyie vijana mwasema zilipendwa wengine bado mpaka leo twazipenda kaza buti
Mochona on
January 14th, 2008 8:56 pm
Muziki Kabambe huu. Umenikumbusha mbali.
Where can i get CDs of some of the tracks?
I love to drive while the music is playing.
How are you all African music lover, I am looking partner to hold the first African Music Award, the award is to recognize those who did amazing work, people like Franco Lwambo Makiadi etc. all African musician legends – What you think? Can we make happen? I am proud to African - ONE AFRICA DAIMA
osima e on
January 15th, 2008 11:27 pm
kwa kweli nimefurahi sana kusikiliza hizi nyimbo za zamani hasa za msondo,ottu kwa ujumla nyimbo zote ni nzuri sana big up 2008 ni mimi mdau wa finland
Hongera sana kwa blog hii.Kama kuna uwezekano naomba kununwa collection hii kama ilivyo.Ninaomba muongeze zaidi nyimbo za zamani na hata miaka ya tisiini ambazo hazivumi tena lakini zilikuwa kali nyakati hizo.
Foya E on
January 22nd, 2008 12:05 am
kwa kusema kweli hii jambo network ni babu kubwa na inanikumbusha enzi za ujana wangu naitakia mafanikio blog hii idumu milele mmpenda vya nyumbani alie nchini Fnland nyumbani ni nyumbani bwana hata kuwe porini.
Mfinanga, A on
January 23rd, 2008 6:59 am
Mambo ndiyo hayo ndugu yangu, sisi tulio mbali na nyumbani tulikuwa tuna sononeka, basi sasa tumefika nyumbani, haswa ule muziki wa Kasongo, unanifikisha wakati wa marehemu marijani na Les Trippers.
kiburu on
January 23rd, 2008 8:43 am
Mimi binafsi nimeipenda sana hii mizike
Robi on
January 28th, 2008 3:45 pm
Jamani 2naomba kuelekezwa kwa kupata hizi cd au dvd zenye nyimbo kama hizi manake huku uswahilini hakuna kazi yenu ni nzuri sana
Great Job, Keep it up!
U know what! Im far away from home but, now I feel like im back home tz.
Thank you so much!
Yasser on
February 2nd, 2008 1:09 am
safi sana, miziki imetulia sana,ningefurahi zaidi kama ningeweza kusikiliza miziki ya hayati marijani Rajab.All in all, ipo makini yote kwa ujumla,ingawa kama ingekuwa ni non stop ingekuwa mwake zaidi.ila powa sana, respect you guys.. keep it real ~!
OMG!!!! You guys are fabulous. Nilikua nasikiliza hizi nyimbo leo mara nasikia wimbo wa my big sister wa harusi…..Jamani 20th yrs anniversary ilikua Jan 18th…..NISHIKE MKONO - Kasongo Mpinda.
Keep up the good work …Thanks so much
basiga on
February 13th, 2008 11:26 pm
Kwa ufupi nawashukuru na kuwapongeza wataalam wanaohusika.
site hii inanirudisha miaka ya 70 na 80.. sekondari, chuo, mnajua tena
umefanya mambo mazuri kwa kuweka zilipendwa, pia nakuomba utuwekee pia mziki wa mwambao hasa taarab sio mipasho. kama taarab nipepee, usiku wa fadhila,miadi kitu aziz, nnazama , waridi na nyingine nyingi.
Mfinanga, A on
February 16th, 2008 10:19 am
Fantastic, this is great!!!!! guys , can you guys let us know where we can buy some of the music on this blog? great Zilipendwa kwa sisi tulio mbali na nyumabni.
My E-mail is ayubissack@aol.com. shukrani taala bro!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
WW MKOJERA - CHINA on
February 16th, 2008 10:22 am
Hongera kwa waandaaji na waongozaji wa site hii, nasifu kazi yenu kweli mbarikiwe. Najiona mwenye bahati kusikiliza site hii. Pongezi na Hongera kwa mchango wenu.
Hongereni sana kwa kuthamini sana maendeleo na uhai wa mtanzania,
Do not give up we are together untill we bring all corrupt figures in system to justice.
lazaro maganga on
February 22nd, 2008 9:10 pm
Kumbe bongo tunaweza yani mnanikumbusha mbaliii miziki ni mizuri na kwa kwa kweli na collections yenu nimeipenda ila naomba mtutafutie oldnumbers za kizungu enzi hizo Bon em, abba group, cool n’ gang nk hapo mambo yatakuwa mazuri zaidi naomba maombi ya cc wadau wa hizi nazo myafanyie kazi pia naona maoni ya wadau wengine ni mazuri. BIG UP JF
I LOVE TANZANIA
PASCHAL PERFECTUS MASHAURI on
February 23rd, 2008 10:53 am
Dah kiukweli mambo ni mazuri kutokana na kwamba mnatupa vitu vile ambavyo tunavipenda na pia ukifuatilia maoni ya kila watu waliotangulia wana maoni mazuri sana ila cha muhimu muyafanie kazi maoni hayo BIG UP TO ALL PEOPLE TO WHOM THEY VIST TO THIS WEB…………………
Naona hizi zilipendwa ni kali. Mbona mmesahau nyimbo za Mbaraka Mwinshehe, kama “Shida haina ngojangoja” na “Sembuli”. Tafadhali tuwekee hizi nyimbo sisi wapenzi wa Mbaraka Mwinshehe.
Wangari on
February 29th, 2008 11:40 pm
Hello WebMaster:
That stuff is off the Hizee! I really love your selections…
W.
mike on
March 3rd, 2008 10:13 pm
Mambo pooooa sana hasa abisina ,inanikumbusha sauti ya Nyiboma isiyochakaa.
Twangojea playlist ingine kwa hamu.keep it up.
agushe on
March 7th, 2008 1:37 pm
waziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, you make me hiiiiiiiiiiiiiii with this kind cool music kep it up guys we this relaxion ngoma here in kenya. po po.
David on
March 11th, 2008 9:01 am
Kwa kweli nawapa BIG-UP kuturudisha miaka ya 47 ya uhuru wa tanzania wakati ule inaitwa Tanganyika.
David Hizza
adam mbura on
March 26th, 2008 9:07 pm
Kumbe bongo tunaweza, miziki inanikumbusha mbali sana.
This wonderful!! Hongera.
Wiki Mwanampuku on
March 28th, 2008 2:14 pm
Pongezi sana kwa site hii.Mnatukumbusha mbali,lakini mnatusaidia kuacha kusubiri vipindi vya Zilipendwa vya redio.Sasa mtu unasikiliza Zilipendwa pale utakapo.Haya ndio maendeleo.Keep it up and we are waiting for the new play list.For years I have been trying to find Bameli Soy by Tabu Ley.Now I have got it.
THANKS AND KEEP IT UP
Hassan siri on
April 4th, 2008 8:54 am
poa sana nimeipenda hii web.
Mahmoud kiwala on
April 17th, 2008 1:21 am
Hongera sana kwa huduma zenu napenda munifahamishe jinsi ya kuzipa hususani kwenye cd pia naomba mungaliziweka nyimbo kwenye mpangilio wa bendi moja moja hata kama zitakuwa 5 au 10 baadaye nyengine zikaendelea mbele
Ahsante
Mikali Kinenekejo on
April 23rd, 2008 10:24 am
Aisee hivi niko ofisini boss akipita na mie nayarudi magoma japo niko nimekaa kwenye kiti mtu akitingishika au akitingisha mguu utamjua. akitingisha kifua, au mikono utajua tu kwamba mambo ni bam bam…. nyaisanga naye aaingie humu maana naye anatukuna sana na nyingi ambazo ziko hapa….. kwenyee kipindi chake..
Thank you very much for puttimg up this.. it is wonderfu;l.
Cheers and have a nice day.
Big up! Jambo Network inapendeza kuona jitihada zenu keep it up!
Kim Francis on
April 25th, 2008 8:45 am
Pongezi nzito(Mwajifya) kwenu Group yote ya JAMBO NETWORK -Zilipendwa.
Nawatakieni kazi njema,mafanikio bora. Muwe watulivu, busara kupitia maoni yetu wasikilizaji na kuyafanyia kazi yale yanayofaa na yanawezekana kufanywa na Ofisi yenu. ZAIDI YA HAPOZILIPENDWA HOYEEEEEEEEEEEEEE
Ridhiwani Ally on
May 2nd, 2008 9:34 pm
SOLUTE wazee,Hii ni soo watu wangu,ila wekeni na zile OldHiphop,zile za enzi zetu,itakuwa BAAAAABKUBWA ZAIDI,
joshua on
May 16th, 2008 7:23 pm
Hizi zilipendwa zinakumbusha miaka ya themanini nikiwa bado mdogo nikiwa mtoto, ni safi sana hizi album.
chilangu on
May 16th, 2008 7:31 pm
Endeleeeni na mambo mazuri kama haya ni poa kabisa ninapokuwa karibu na jambo hamna matata kama napata kile ninachotaka toka jambonet endeleeni kuleta mambo zaidi ya haya.
Ahh Jambo radio, mnaniburudisha vizuri, mnanipa vitu vya maana mno, hasa kibao cha PIGA UA TALAKA UTATOA, aaa mnankumbusha mbali, niko huku Bondeni lakini najiskia kama niko nyumbani licha ya XENOPHOBIA YAO, Ila Jambo inaniliwazisha, Jambo tuongezee vibao zaidi jama, hivitoshi, vibao kama NDOA NDOANO, VIJANA JAZZ ORCHESTRA WANA VITU VITAMU SANA VYA ZAMANI TAFADHARI JAMA JAMBO TULETEEE MAMBO. NAWASHUKURU SANA JAMBO MENDELEE NA KAZI NJEMA HIYO, MWENYEZI MUNGU AWABARIKI SANA. AFYA NJEMA JAMA.
jamani Jambo kuna Bendi ilikuwa inaitwa TANCAT ALMAS ORCHESTRA hamna vibao vyao, Bandi kama NGORONGORO HEROS nyimbo kama KAMBWEMBWE,POKEA SALAMU, BENDI KAMA RUAHA JAZZ BANDI, JAMA HEBU JITAHIDI MTULETEE VITU HIVYO , ni jambo radio pekee inaweza kutuletea mambo kama hayo. Mungu ibariki Africa , Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki JAMBO RADIO kwa kai you nzuri.
Ben on
June 5th, 2008 10:53 am
Great stuff!
But why cant you guys let us download these gims and enjoy them in our ipods???
david musika on
June 9th, 2008 6:37 am
Tafadhali naomba kujuwa wapi naweza kupata hizi nyimbo zote hizi za kale, kwani zinanikumbusha mambo mengi, Tafadhali nazihitaji!!!! najihisi 2008 kama enzi zile zangu, kwani si muda wote nakaa kwenye computer na kuweza kusikiliza, napenda kusikiliza kila niendako, offisini, kwenye gari hata popote pale-sikinde,otu, remy,tabuley,Hata mwanyama wa msituni wanapenda twist-watoto wangu wanoupenda sana
Hongereni sana kwa kutuchombezea nyimbo nzuri . Tunajisikia tupo home japo tupo ughaibuni. KEEP IT UP.
Salha Bin Mende on
June 17th, 2008 1:26 pm
Question naweza kupata wapi nyimbo hizi? Ninagraduate June 28, 2008 zimebakia week mbili naweza kupata wapi nyimbo hizi. Kama kuna website amboyo naweza kuangiza nyimbo hizi. please nijulisheni
Asanteni kwa burudani. Shukrani za ziada zimwendee rafiki yangu Ben Kimbache wa London, aliyenijulisha tovuti hii. Niko mbali na nyumbani, lakini muziki huu unanifanya nijihisi niko nyumbani Tanzania. Ni muziki murua, uliopangiliwa vema, unaonikumbusha mbali - enzi zile. Ana kweli zilipendwa, zinapendwa!
Chicago on
June 27th, 2008 6:55 am
Hongereni sana kwa kutukumbusha nyimbo nzuri za zamani. Naweza kupata wapi nyimbo hizi. Hapa Dar-es-salaam
Riyami on
June 28th, 2008 11:24 am
Hapa ukweli mlikaa nakufikiri nini chakuwafurahisha wateja,,kikao chenu kimefanikiwa namafanikio mmeyaona sina mengi yakusema ila natoa shukrani za dhati kutukumbusha wapi tulikua kwa miziki tunayopata furaha ilioje! ahsanteni sana.
Albert Manga on
July 19th, 2008 5:55 pm
What an entertainment you are rendering!! you all deserve a big up. is it possible to get some wonderful musics? I can not conclude a day without citing this web/ blog if you like.
Cosmas Mwazo on
July 25th, 2008 12:52 pm
Nashukuru sana kwa juhudi zenu kututumbuiza sisi wa zama. Ningeomba mtupe vibao vya orchestre Kiam, shamashama, kamale,veve na wengineo
Yaani hizi nyimbo ni bomba has in working areas we are refreshed alot,naomba mtuwekee akudo,twanga na FM academia za kumwaga.Nawatakia mafanikio mema mko creative sana
kweli mambo makubwa sana humu lakini mradi salama .
vincent on
July 29th, 2008 1:55 am
Hi there,
I want to congratulate whoever set this up.
Men I am enjoying this to the maximum.
keep up the good work.
Zakhia Rajab Soka on
July 30th, 2008 1:47 pm
Kweli mmefanya kazi nzuri sana……..endeleeni kuongeza zilipendwa nyingi zaidi.
mnakubalika
moshiro jacob on
August 16th, 2008 1:22 am
nawapongeza sana kwa kutuwekea nyimbo hizi za zamani kwenye web site.
ombi langu lipo kwenye jinsi ya kuzidownload na kuzihifadhi kwenye PC ili niweze kuzisikiliza wakati sipo online.
So kama kuna uwezekano naomba mnielekeze.
Kwa kweli nimewafurahia kwa burudani nzuri ya zilipendwa mjitahidi mtuboreshee na zilipendwa za taarab ziwepo nyingi kama za bolingo na nyinginezo
Joe Das on
August 24th, 2008 3:29 pm
Naomba vibao vya bendi ya tancat arumas navyo mviweke maana jambo redio pekee ndiyo mnao konga nyoyo zetu nawafagilia kwa kazi nzuri
Joe Das on
August 24th, 2008 3:32 pm
samahani nimekosea ni tancat almas
Jimmy J. on
August 30th, 2008 3:24 pm
Hapa ndipo ninapotumia siku yangu ya mapumziko,Hongereni kwa kazi nzuri.
isack kessi on
September 10th, 2008 1:56 pm
hii ni top notch jambo radio, ila ombi ni moja kama mkiweza kuongeza nyimbo nyingine nyingi hatutasema no;
pamoja na kulala na kufanya mazoezi kusikiliza hii radio kuanapunguza stress so keep ip up guyz
florens ottaru on
September 12th, 2008 9:25 am
nimefurahia sana kunikumbushia enzi zetu mkuu sio siri kuna nyimbo moja hapa inanitoa machozi all we need africa.
florens ottaru on
September 12th, 2008 9:28 am
tuna mengi ya kuifanyia africa hasa nyumban tanzania. from bangkok thai
florens ottaru on
September 12th, 2008 9:36 am
samahani ningeomba kama ningeweza kuzipata hizi nyimbo kama zilivyo ndugu yangu.
Daywell on
September 18th, 2008 6:22 pm
zitatakuja zitaondoka nyie ni mwisho,wakumbushe watu kuwa ya kale dhahabu
THANKS ALL BOGOS 4 ZILIPENDWA.MIMI NIKO HAPA. RAIA WA CANADA.
BUT NYIMBO ZIMENIRUDISHA .MWAKA 1977 AT IHUNGO SEC.BUKOBA
TANZANIA.TUKIJIMWAGA NA TOTOS ZA RUGAMBWA. GOD BLESS ALL.
kuna huyu bwana anaitwa MSHASHO the DOGG kutoka Namibia alikuwa kwenye Channel O award kama mna tracks zake tafadhari naomba mzipachike mahali ili wapenzi tuburudike.
Godfrey Alban Kayumbo on
October 4th, 2008 9:24 pm
Tunashukuru sana kwa nyimbo hizi kwani zina ujumbe muhimu sana katika maisha yetu haya,pia zina tukumbusha muziki wa kiafrika hasa Afrika ya mashariki kipindi/enzi za baba zetu.
Hongereni kwa kazi nzuri,Godfrey Alban,Western Cape,RSA.
Jayfour Rama on
October 5th, 2008 4:07 pm
Big up webmaster.
The idea of having this old music site for old and middle age like me is extremely good, keep it up.
But it will be ideal to tell us where to get a copy of these golden old songs, this is b’se sometimes when network is down you won’t enjoy as aimed.
So like others said, help us by informing where physically we can get a copy of these nice collections.
Thank you very much for being creative and socially.
hans on
October 6th, 2008 4:40 am
nimeshindwa kuvumilia jamani, nimejikuta machozi yananitoka, nimekumuka mbali sana jamani, aah wee acha tu.
Nimekumbuka maisha ya miaka 80 tukiwa tumezungukwa na umaskini ambao siwezi kuusahau na nyimbo kama hizi tunazisikiliza kwa majirani maana hata radio hatukuwa nayo
kip bwana ya cheptoo on
October 7th, 2008 2:56 pm
i loooove this website
Got something to say?
Search:
eNews & Updates
Sign up to receive the latest breaking news, as well as all of your other favorite headlines!
kwa muda mchache niliotumia kusikiliza nimeona kazi yenu ni safi sana. Pia kwa haraka nimegundua kasoro moja wimbo wa “sina ndugu” ulicharazwa na maquis du zaire sio marijani rajab kama inavyosomeka katika orodha ya nyimbo zenu. mengine yakiwepo sitasita kuwajulisha. asanteni sana kwa hii zawadi ya new year.
Good job done.like us old timer we do need this type of tune/hits to remid us our good old days.
so how can i get the CD of zilipenwa
I am in Toronto,Canada
Also i would like to have Novelle Generation by Lipua Lipua plus Kamiki Yeye
I like this web
Oliver N’goma Nyimbo zangu tamu kweli kweli uko fit
Nime furahi kuona kuwa mtukumbuka hata sisi wazee wa zamani kwa kutuanzishia blog hii ambayo tunaweza kupata kitu ile roho inapende. kazeni but
hi to all!!!!!!!!!!!!!
Thank you Jambonet for this wonderful collection!
Miziki hii inanikumbusha mbali sana. Ninapoisikiliza hukumbuka mambo
mengi, sehemu nyingi nilizowahi kuishi na watu wengi niliokutana nao ambao kwa pamoja tuliisikiliza, kuifurahia na tuliicheza. Asante sana!
Je ninaweza kuinunua hii collection kama ilivyo au kuchagua baadhi ya nyimbo.
Tafadhali nijulishe kupitia anuani hiyo hapo juu.
Asante sana.
Ee Bwana sio mchezo nafagilia sana hii blog,tunapata burudani safi,japokuwa sikuwepo enzi hizo itakuwa poa kama mkiweka na bongo flava pia.
napenda hii collection je naweza kuinunua kama ilivyo. tafadhali naomba kujulishwa.
mdau nakupa hongera zangu za uvunguni mwa moyo wangu kwa kuweka site hii ya oldies..hao vijana wa les wanyika wananikosha sana roho niwasikilizapo…keep it up man..nimeipenda kazi yenu
wabeja sana
Mungu awabarikini jambo network. Niko RTP North Carolina na nilikuwa mpenzi mkubwa wa most of these songs especially kutukumbusha utoto/maisha yetu na kuturudisha karibu zaidi na nyumbani. Keep up with a good job
NIMEWAZIMIKIA KISHENZI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! KEEP IT UP.
NIMEFURAHI SANA KWA KUSIKILIZA ZUKU HIZI ZA MONICA SEKA…………..YAANI ZIMENTACHI ILE MBAYA MPAKA NIMESHINDWA KUFANYA KAZI, SIJUI NTAMUELEZA NINI BOSI WANGU, BWANA MICHUZI UNATISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
I must say this web remind me of those good days! Keep it up guys.
AAAAAAAAAAAAAAAAAAAA HII MFUENI YA LIPUALIPUA IMENIKUMBUSHA FAR KINOMA KAZENI BUTI WAZEE
ah jamani kuna siku huwa zinaganda, sasa kwa mtindo huu wa hizi zilipendwa jamani nadhani nimepata kitu muafaka kufanya siku iwe njema huu wimbo wa franco Nabari misele umenikumbusha miaka ya 1980,1981,82, 83 kule Sumbawanga, my father alikuwa na hiyo kanda kweli mmenikumbusha mbali mno BIG up sana, natumai mngeweza kuuza hizo collections mwaweza kuwa ma MIlionea,
Mambo murua
Baada ya kusikiliza baadhi ya nyimbo, kweli mumefanya kazi kubwa asilimia kubwa imegusa miziki yote iliyopendwa na inayoendelea kupenwa.
Hongera sana kwa kulendeleza Libeneke.
Bado tunalakujivunia wakati wetu ulikuwa babu kubwa,hivyo Kizazi kipya hakitubabaishi.
Keep up the good work. And please don’t shut or close down the website.
We do need This Website to keep our spirit alive and high.
Naipenda sana blog hii. “Big up”
hamna shida mimi nitakufa na wengi
usijali
Ubunifu wenu unastahili kupongezwa, binafsi nimeburudika na kukumbuka miaka ya 78, wakati nikiwa nasikiliza sana radio Bujumbura, jioni.
Ombi langu kama mtaweza, tafuteni nyimbo za mzee john ondoro chacha(kwa sasa nadha yuko Dar kule shekilango)zinapatikana KBC, na zile za Frenk Humblicks na dada zake, kama wimbo wa vipembe. Vinginevyo ninawaheshimu kwa utundu wenye kuleta furaha mioyoni.
This is owesome.
Most of listeners will agree with me when I call this website ‘off the hook’.It drives me all the way back in days where we used to shake our junk and trunk.I,personally, appreaciate the good job you guys are doing.I currently reside in DC but when I listen the old skool through this web and watching TVT,Star TV and chanel 10 through jump TV, I down deep feel my sweet home Tanzania.Thank you Michuzi and whoever enginered to do this mgnifficent job of putting this polluted planet into our finger prints.
Congratulations.
Mambo mazito haya….inanirusisha miaka ileeee Jeans za Michael Jackson,Shati zajuliana,kung fu shoes na za ujiuji…
KEEP IT UP…..
Asanteni kwa nyimbo zilizopendwa, niusikiapo wimbo wa sisili na masasu nakumbuka nilipokuwa mdogo naishi Keko machungwa.
Yaani natamani kulia kwani mtu unatamani maisha yale ya muda huo yarudi tena, kitu ambacho hakiwezekani.
Pia nawakumbuka wale wote walitutoka na ambao nilifurahi nao wakati huo. ndugu na jamaa pia.
Mola awazidishie na kazi yenu nzuri.
Genuine Guy- Lazaro. as known as Rico-Star.
Site bombaa sana hii nyimbo zinanikumbusha mbali saaana yani keep it up.
Yani hutamani kuondoka katika Computer
Ukumbusho mzuri wa enzi hizo za ujana wetu……kazi mzuri mliyoifanya ya kutupa burudani za mwaka mpya 2008!!!
Hi guysssss mmenifurahisha sana tena sana nakumbuka mabao mengi na mambo mengi , oooh sijui niseme nini… God blees u… ever
Sasa tukitaka hizi collection tutapata vipi? Happy new year
Its absolutely the bomb!!! Thank you guys for taking me back to the good old days!!
:o)
Zilipendwa zimetupa “GET IT TOGETHER” ya furaha hadi hivi sasa bado tupo katika sherehe ya kukumbuka enzi hizo za zamani tukiwa huko nyumbani - Bongo…tunaendelea mpaka usiku …ingawaje wamekosekana Mbaraka Mwinshehe, Patrick Balyisidya wa AFRO- 70 na Shabani Marijani kuongezea furaha ya zilizopendwa…tumefurahishwa na hii kazi yenu kwa sasa.
BADO TUNAENDELEA TUTAKUAGENI TUKITOWEKA……..
nawapongeza timu yote iliyoshiriki kufanikia sisi wazee wa sasa na vijana wa zamani kupata nyimbo hizi. nauliza swali, je twawezaje kuzipata nyimbo hizi kwenye cd?
mwisho kabisa, kuna baadhi ya nyimbo title zake siyo za kweli na waimbaji wake, nafikiri ni kasoro ndogo mnazoweza kurekebisha, vinginevyo nawapa shavu!
Dandi-UDSM
Kwa kweli nawafagilia sana blog hii kwani wananikumbusha mbali sana ,japo kumekuwapo na kusitasita au kukwama kwama kwa nyimbo laki ni bomba sana.Ningefurahi sana iwapo ningepata CD za nyimbo zote za zilipendwa kama ilivyo kaktika orodha yenu.
Nyimbo nzuri na zimetulia kwa kweli zinatoa liwadha yakikweli kweli na nadhani ni dedication pia kwa wenzetu wanaoteseka Kenya kwa sasa. Tujulishe tutapataje CD au tupe offer ya kuzidownload,kazi njema,keep it up! Hali kadhalika zinaelekeza jamii yetu kuthamini miziki yetu ya asili ya Kiafrika maana sio ya kishenzi as baadhi ya wadau wanavyodai!
Aisee nawafagilia sana kwa kazi nzuri mnazofanya.,yaani mimi sasahivi kila napotoka shule ni lazima nijiburudishe na zilipendwa,naomba kama tunaweza kupata CD itakuwa poa sana,watanzania wengi hapa luton uingereza wanazungumzia zilipendwa,aksante sana.
Nimekubali! hii mwisho… yaani napata “Kasongo yeyeee…” Super Mazembe hao… Na huku Mbaraka anakwambia nimehamia Mtaa wa 7! Shekhe nashukuru saana kwa hii site - please keep it up… more musik
This is great guys you are fantastic i would like to thank you so much for reminding me the good old days, so keep it up i know its early stages, however i would like you guys to stick to strictly African not Phil Collins and Elton John on this list next time when you edit please add artist such as jb mpiana and werrasson or wenge bcbg and zaiko. thank you very much
hey shukurani to everyone who has a hand on this, it brings memories. sasa keep it up kazi nzuri. kaza buti!
thank you
Nimeipata leo jioni hii website. Sijapata muda mzuri wa kusikiliza nyimbo za kunitosha. Nitaendelea nayo jumapili. But it seems like this is what i was looking and waiting for. Babu kubwa wadau wa hii website kwa kutukumbusha zamani sana ndani ya Bongo.
Hery in Connecticut, US
Thanks ,I am enjoying your work.
Nimefurahishwa na Collection zenu hizo za zilipendewa Ninataka kuzisilikiliza nitafanyaje ili niwe nasizisikiliza kupitia blog yenu hii hii. Naomba Nitumie kupitia E-mail yangu ili niweze kuburudika.
Yaani ninyi ni funika bovu, sijui hata cha kuandika maana mmenikumbusha mbali ile mbaya na moyoni kupata burudani.
Wakati mwingine najikuta ninacheza au kuimba hizi nyimbo na niko kibaruani, acha tu. Sasa inakuaje maana kuna amethubutu kuniambia nimuwekee kwende CD nyimbo hizi zilipomkuna nikamueleza haiwezekani yeye ananiambia nifanye jitihada zote hahahahahaaaa inakuaje bhagosha. Na hatoki hapa kwenye computer yangu yeye anataka nyimbo tu.
mm mbona siwapati???najaribu lkn sisikii nyimbo zenu
Well done, thanks you so much.
Jamani mie nazipata ila zinakwamakwama sana, sizipati straight, natamani ziimbe moja kwa moja, nifanyeje? au ni udhaifu wa komputa yangu? nisaidieni mzee mwenzenu niachana na haya masebene ya watoto wa ubongo wa fleva!!
Nimefurahishwa na hizi zilipendwa yaani wewe acha tu zinanikumbusha enzi za miaka ya themathini nikiwa bado mdogo.
Thankx Michuzi, ila duh nyimbo ukisubiri iimbe inaaanza kwa bits fresh ila inakata kata sana hebu fanya makalavee mambo yawe smoooooth!! ila hongera sana
kweli nimefurahi, nime-enjoy maana inanikumbusha mbali sana kwani wengine tumekwisha kua wazee,
so kee it up guys
Mungu wape ufahamu wa kutupatia miziki ya zamani kwani niukumbusho kwetu sisi vijana wa zamani.
Miziki hii inankumbusha miaka ya themanini enzi nikiwa naanza shule ya msingi kwaujumla ni miziki mzuri sana asante
Like Zeby asked, is it possible to buy collection this collection from you? Waiting for your reply.
kheri ya mwaka mpya jambonetwork! hongereni kwa kazi hii nzuri kuturudishia ‘an alternative’ katika burudani hii ya muziki!! napenda kusahihisha kidogo hapo kwenye playlist yenu: wimbo ‘africa liberte’ uliimbwa na franklin boukaka toka congo na siyo dibango, wimbo ‘misile’ naona???? huu umeimbwa na tp ok jazz chini ya freddy mayaula mayoni. hongereni saana !
oohn mdau hii miziki unaweza kushiba bila kula enzi hizo hata ndege walikuwa wanaimba ,siku hizi ni kunguru tu.hongera sana kwa mpangilio wako mzuri wa the old school.
kwa kweli jambonet nawapongeza sana kaw kazi nzuri na mkusanyo mzuri wa nyimbo za zamani ili hata sie tulio huku ughaibuni tuweze kukumbuka enzi zetu huko nyumbani.
hii ni zawadi nzuri sana kwa mwaka huu, naomba kama mtaweza pia wekeni wimbo wa “homa imenizidia”
pongezi nyingi toka uingereza!!!!
kheri ya mwaka mpya kwa watumiaji wote wa globu hii!
Hii web ni babu kubwa,kwakweli naikubali kazi yenu kwani inatufanya tukumbuke mambo mazuri ya zamani,binafsi vibao kama Maze na Ibeba vya Tabulei na Boreau deq bonyenye–Madilu Coeurs!! aaaaa we acha tu,yaani vinanikumbusha enzi za Disco.
Mdau weye kiboko, nimeacha kufanya assignment natakiwa nisubmit kesho morning, nala tu mziki wa zilipendwa, umenikumbusha utotoni mzee.
Keep it up!
Hey! Ilove this collection! I mean it is awsome, wonderful and I enjoy every minute I listen to it. I just missed one song JULIA of KOFI OLOMIDE, can somebody get it from somewhere! I can buy the collection just let me know how! Congratulation to Jambo Forum!! Asante sana
nyimbo zimenifurahisha sanaaaaaaaaaaaa………zanikumbusha mbali hadi zataka kuniliza………………….kazi nzuri sana………….safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
Jamani tunaomba kuchangia nasi kwa kazi yenu hiyo nzuri kwa kununua CD zenu,hivyo tujulishabe ni namna gani tunaweza pata hizo collection.
Ahsante kwa kunitumia huu mtandao. Kwa kweli mambo naona ni poa kwani nyimbo hizi zimenirudisha home kabisa !!!
Festo
Going back to those years where audio cassette were not fond in TZ ,most yof these song were availlable on Disic plate( santuri).You guys you are bringing back my childhood ! Good job, keep it up.
hongereni sana wana jambonetwork kwa kutupa nafasi ya kukumbuka tulikotoka.naomba kutoa masahihisho kidogo hapo kwenye playlist: wimbo ‘africa liberte’ uliimbwa na franklin boukaka toka congo brazza; na wimbo ‘misile’ ni wa tp ok jazz chini ya mayaula mayoni.
Ebwana si mchezo!!!! inabidi mtafute means za kuuza hizi nyimbo, keep it up!
Mdau Tuwekee nyimbo za wana TOMATOMA kama nyimbo zi[po kwenye library yako.Baadhi ya nyimbo zao zilizovuruga watu akili enzi hizo ni kama ….nachelewa Stendi ya basi na laiti moyo ungekuwa na kifuniko…. Ingawa bendi hii haikudumu sana kwenye ulimwengu wa muziki wa dance ila ilitoa vitu vizuri vilivyopendwa…km vipo itapendeza mkivijazia humu tujikumbushe enzi hizo
Oh wow…nilitaka kulia wimbo wa sikinde “Ubaya uliuanza zamani…” jamani nilikua std 2 huu wimbo ulikua unachaguliwa na wafanyakazi wengi tu katika kipindi chao cha wafanyakazi… Kikianza tu basi nakurupushwa kaoge shule karibuni…….Nilikua naenda shule saa sita na nusu
Those were the days….. I miss so much those days……
I hope watoto wetu wa kizazi hiki nao wakikua watakumbuka good times na wazazi….mhhhh I doubt watakumbuka mananny, baysitter, playstation, ipod and myspace…
Yaani maendeleo ni pamoja na kuchukua yale bora ya zamani. hivi vitu kwa sasa ni agharabu kuvipata na wala havipatikani TENA . unanirudisha nyuuma kiasi nashindwa kupata maneno mazuri ya kusema lakini hii web kwa sisi vijana wa TANU NA ASP ni machozi tu unaposikiliza hizi nyimbo. KAZA BUTI MICHUZI UNANIKUMBUSHA ENZI YA SAFARI RESORT bado ukiwa mvulana. ENDELEA KAZI NI NZURI , TUKO WENGI NYUMA YAKO
Samahani MICHUZI , huo wimbo wa AFRICA LIBERTE kwa kumbukumbu zangu haukuchezwa na MANU DIBANGO ila huo wimbo umechezwa na FRANKA BOKAKA fanya marekebisho NAIKUBALI KAZI YAKO
jamani jambo mtatuuwa kwa kufikiria enzi zetu yaani hawa shikashika wananikumbusha pale Ifakara sekondari -IFOZA-MACHIPI kwenye madisco ya sherehe za mabweni miembeni nk NGONGI AMON NGONGI ,SEZALI YULIAN etc mnazisikia hizooooooooooooo hii ni ile miaka ya 1979-1983
hongera sana ila ningependa nyimbo ya mtu mzima hovyo na bi nasma kidogo
Kazi nzuri sana hapo nawapongeza.Mmechanganya sana aina mbalimbali za miondoko ya muziki ni bora mngesort kulingana na aina ya music au geographical zone au hata inchi hii ingeleta ufanisi zaidi, lakini sasa kuna maharage, choroko, maini na matembele ndani ya chungu kimoja.Ni ushauri tu vinginevyo jitihada zenu zinaonekana.
Najisikia nipo home uzingatia hapa Ughaibuni hatuna jinsi ya kuburudika na vitu adimu kama hivi. Hongera kwa Michuzi kwa kuturushia na zaidi kwa wana Jambo Net kwa kazi nzuri ya uandaaji. Cheers!
Hata huku kwa wenzetu Wahindi tumezipata za enzi za ‘Bumping’ Yenu Bar Kinondoni enzi hiizzoooooo!!!!!! Nawafagilia sana. Kazi nzuri
Nazidi kuwakubali hebujaribuni kuzitafuta na za mtu mmoja MTZ mwenzetu anaishi Japan anaitwa Fresh Jumbe Waziri Mkuu, zake za zamani zimetulia sana eg,mazingira yetu ,conjesta alipiga akiwa Nginde nk
Asante sanaa kwa hizi nyimbo zilizopendwa —-shukrani kuzilete zote pamoja
Hakika kwa mtu wa enzi zetu anaguswa vilivyo na vibao hivi. Langu ni moja je utawezaje kusikiliza hizi nyimbo bila ya kusuasua? Sipati mtiririko mzuri zikipigwa zinakwama mara kwa mara, njia gani nitumie?
Otherwise big-up kwa wana blog wote. Cheers.
Website nzuri collection ya muziki bomba sana ila please kuna wimbo uliimbwa na eddy shegi uitwao milima ya kwetu, kama utaupata na kuuweka kwenye list itakuwa zawadi kubwa mno.
sina la kusema nasikia kulia tuu nikisikiliza hizi nyimbo pale zinaponikumbusha wakati wake,wapi na akina nani nilikuwa nao. wengine ni marehemu, wengine tumepotezana sijui wako wapi.Kwa kweli nawafagilia sana Jambo network kwa burudisho walilotuletea.Natamani kurudisha wakati nyuma lakini haiwezekani miaka ya 70 na 80 kwa kweli tulienjoy maisha .
Baab Kubwa, nafurahi sana kupata nyimbo za zamani hapa nakutakieni kila la kher na mafanikio .
Ps
Mickey Jones wa Copenhagen tafadhali chukua email adress hii ili tuwasiane kuna mambo mengi tuongee( jamalbaba@hotmail.com) tafadhali usidharau tunajuana
Ahsanten wote
baab kubwa jambo
mickey Jones tuwasiliane kwa email hii
jamalbaba@hotmail.com
muhimu sana tunajuana ila tumeachana muda mrefu
Safari hii tumpe hongera Issa Michuzi kwa kuturudisha katika enzi hizoooo ambazo mziki ulienda pamoja na ushabiki wa mpira katika wakati wake wa ujana….sijuwi kama Sunday Manara,Chitete,Bonna Max,Adolf ukimtoa marehemu Mwijage na Kikwa watakubaliana na mimi….
Jamalbaba nikumbushe kidogo ulikuwa kundi gani? mimi nilikuwa The Heroes na The Groove Makers na timu ya Taifa wote walikuwa washikaji….nikumbushe ndugu Jamal mickey@mail-online.dk au blog ya Issa Michuzi napiga hodi mlangoni kwake kila siku, nina mipango ya kumletea Michuzi rafiki yake “GERALD” wa LIVER-MAINI. kwa furaha ya kutupa burudani za kila siku toka bongo na ulimwengu wa nje…..Jamal burudika na zilipendwa unaikumbuka Geogina ya Marijani na Kasuku ya Afro 70?
Dah,
Nawashukuruni nyote kwa kuweka maoni yenu juu ya kazi hizi tulizowawekea japo naona wengi wanamwambia mheshimiwa Michuzi aongeze nyimbo ama apunguze.
UKWELI:
Tutaendelea kuongeza nyimbo kadiri tunavyoweza na kuzitenganisha. Wale waloomba tuweke na taarab ni kuwa natarajia by next month naweza kuwa huru na kuzipandisha hapa.
TAHADHARI:
Epuka kuweka comment yako ikiwa imeambatana na barua pepe yako mfano kimeo@baabkubwa.com maana spams zitajazana kwenye inbox yako. Badala yake andika kimeo-AT-baabkubwa-DOT-com na unayempa barua pepe hiyo ataipata.
MWISHO:
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu mimi pamoja na crew yangu. Tunasikitika kwa wale wanaolalamikia kuwa eti nyimbo hazichezi vema ama zinakoroma. Ni kuwa mtandao upande wenu uko na speed ya chini na njia mbadala ya kucheza miziki hiyo ni kuhakikisha computer yako kwanza ina Adobe Flash Player. Kama haina basi hautaweza kuipata miziki hii. Fanya kuvumilia kwa kubofya PAUSE ili miziki ijikite kwenye computer yako kwanza kisha anza kukandamiza mmoja baada ya mwingine.
Nawatakia furaha katika mwaka 2008 na tuendelee kuwa pamoja. Hatupimi… Tangu 2004 na bado tunakuja tena kwa nguvu nyingine kubwa zaidi.
Mac
Ooops!
NYONGEZA:
Kwa wale wenye mawazo ama ushauri msisite kutufahamisha. Kwa kuandika comments tu hatutaweza kuzisoma zote. Ujumbe ambao ungependa niushughulikie haraka sana ama kuufanyia kazi basi naomba utume via email kwa mac-AT-jambotanzania-DOT-net ama kwa namba ya simu tuma +255 713 444 649
Karibu
Kwa ujumla mimi nimefurahia sana, swali langu kubwa ni kwamba, ninaomba kununua hii collection yote, tafadhari sana naomba unijibu.
anuani yangu ipo hapo juu.
Kwa haraka zadi unaweza kunitumia tex katika number, {HIDDEN FOR SAFETY}.
Asante,
Ideka
Mac ( Maxence)
Tunashukuru kwa “dosier” yako kuhusu maendeleo ya hapo baadaye kwa wale wapenzi wa Taarab,kuhusu tatizo la nyimbo kutosikika vizuri,huku kwetu Scandinavien hatuna matatizo hayo,tunavipata vibao vyote vya enzi hizooo zetu za ujana bila wasi…..wape pole jamaa wenye mtandao uliyopitwa na wakati wake,maana wanakosa utamu wa kazi yenu…pia ilikuwa vizuri mlimsitua Michuzi, bwawa la maini mambo si mazuri kwa sasa amejiburudusha na zilipendwa kama sisi huku Scandinavien!!!
Keep up the good work my brother! nipozisikiliza hizo nyimbo, zinanipeleka mbali sana, haswa kwa sisi tulio mbali na nyumbani, natamani kuruka na ndege sasa hivi kurudi home. hayo ndiyo mambo wakati nikiwa Tambaza na Azania, kama tunaweza kurudisha miaka nyuma sijua ya mungu makubwa!!!!! great job guys keep it up.
jamani hii aza umeniumbua inanitoa machozi hasa niisikiapo sauti ya chiriku Hemed Maneti Ulaya na wakati huu awamu ya pili ikiwa imeshika hatamu.
Mungu ailaze pema peponi roho ya Maneti na wengine wote waliotangulia mbele ya haki.
nawafagilia wote walioanzisha blog hii yaani mnanikumbusha mbali sana najihisi kama nipo peponi vile mbarikiwe sana. mwaka mpya mwema nduguzanguni
Nyimbo ni safi kabisa na nina uhakika mtaongeza nyingi nyingi kama za hayati Franco Rwambo Makiadi, Msondo,Sikinde,Marquis Original, Masantula nk.
Ila kilio ni kilekile cha wengi ukipiga zinakwamakwama kuimba mpaka uhondo wote unakwisha.
Mbona kimya hakuna zilipendwa wala vijana wa zamani
Nyimbo ni safi kabisa na nina uhakika mtaongeza nyingi kama za hayati Franco Rwambo Makiadi, Msondo,Sikinde,Marquis Original, Masantula nk.
Ila kilio ni kilekile cha wengi ukipiga zinakwamakwama kuimba mpaka uhondo wote unakwisha.
whats a hell this songs are nice i like them. keep drives us crazy
Good job Guys! i admire your work Big Time!! Do you have any tracks from PAT SHANGE though? Would appreciate one or two of his great numbers!!
Keep strong, cheers!
:o)
Thank you mumenikumbusha mbali sana nyimbo ambazo huku ulaya ni Diamond japo ni za kale.tupeni nyingi hasa za bendi za dansi za KI BONGO ZAIDI.
Wadau chukueni muda kusikilizeni website hina kila collection zote.chukua zaidi ya muda wa massa mane utashangaa, hata wale wanaosema kwamba hawawapati wapendwa wao , nikwamba take ur time this web is supere dupa.kilakitu kipo
KWA KWELI MIE SIJUI NISEME NINI KAZI MLIYOFANYA NI KUBWA NYIMBO HIZI ZINANIKUMBUSHA MBALI SANA ENZI HIZO ZA GETI KALI HAPO KWA MZEE NANII HONGERA SANA NDUGU ZANGU
Okey, Nimeifurahia sana Taarabu ya mzee Bibi yetu Kidude “sikuachi leo na kesho peponi”, Mpe hai sana Bibi yetu hapo Nyumbani Dar. Nimeituma hii kama Dedication kwa Mke wangu Mpenzi aisikilize hapo home Dar-Tz kila jioni kabla hajalala. Za kale Zahabu Kweli bwana.
Hi, kwa wote wanaofagilia zilizopendwa, nashauri kama mkiweza Msituchanganie nyimbo, tupeni za kibongo tu sisi wabongo ili tupate kufaidi nyumbani tu toka mwanzo mpaka mwisho kwani zinakumbusha sana Nyumbani, tunatamani sana kurudi nyumbani muda nao ndiyo hauendi haraka kabisa tumalize turudi kwetu Bongo tukae na familia zetu kwani tunahisi upweke sana kwetu na familia zetu kutukosa kwa muda mrefu.
Leo- U.S.A
Kazi nzuri sana kwacollection hiyo kwani ni kazi sana kupata miziki hiyo ya zamani na iliyokuwa ikipigwa kwa utaalam mkubwa ndio maana mpakaleo bado mizuri ..
Ila kitu kimoja Programmer wenu inatakiwa awajue wanamuziki na nyimbo zao kwani nyimbo nyingi zimeandikwa artist tofauti na muziki wenyewe
Catunda USA
Hej Yaani sijui niseme nini tu kwanza nakaribia miaka 40. lakini, kuna nyimbo zimeni touch saaana. kwani nilikuwa mtulivu wa maisha yangu lakini mpenda saana wa miziki na kutoka na marafiki zangu kudansi. Ila tu naona ule wimbo wa mama yake na Sofia mwimbaji siyo wa Tanzanite Band. Lakini kazi mliyoifanya ni Weldone 100%. Keep It Up.
This is great, keep it up please.
St Louis MO USA
C mchezo inapendeza hasa kwa watu kama cc yaani wale vijana wa zamani, c utani nimezifurahia sana nyimbo hizi nyie vijana mwasema zilipendwa wengine bado mpaka leo twazipenda kaza buti
Muziki Kabambe huu. Umenikumbusha mbali.
Where can i get CDs of some of the tracks?
I love to drive while the music is playing.
Thanks in advance.
How are you all African music lover, I am looking partner to hold the first African Music Award, the award is to recognize those who did amazing work, people like Franco Lwambo Makiadi etc. all African musician legends – What you think? Can we make happen? I am proud to African - ONE AFRICA DAIMA
kwa kweli nimefurahi sana kusikiliza hizi nyimbo za zamani hasa za msondo,ottu kwa ujumla nyimbo zote ni nzuri sana big up 2008 ni mimi mdau wa finland
Hongera sana kwa blog hii.Kama kuna uwezekano naomba kununwa collection hii kama ilivyo.Ninaomba muongeze zaidi nyimbo za zamani na hata miaka ya tisiini ambazo hazivumi tena lakini zilikuwa kali nyakati hizo.
kwa kusema kweli hii jambo network ni babu kubwa na inanikumbusha enzi za ujana wangu naitakia mafanikio blog hii idumu milele mmpenda vya nyumbani alie nchini Fnland nyumbani ni nyumbani bwana hata kuwe porini.
Mambo ndiyo hayo ndugu yangu, sisi tulio mbali na nyumbani tulikuwa tuna sononeka, basi sasa tumefika nyumbani, haswa ule muziki wa Kasongo, unanifikisha wakati wa marehemu marijani na Les Trippers.
Mimi binafsi nimeipenda sana hii mizike
Jamani 2naomba kuelekezwa kwa kupata hizi cd au dvd zenye nyimbo kama hizi manake huku uswahilini hakuna kazi yenu ni nzuri sana
Great Job, Keep it up!
U know what! Im far away from home but, now I feel like im back home tz.
Thank you so much!
safi sana, miziki imetulia sana,ningefurahi zaidi kama ningeweza kusikiliza miziki ya hayati marijani Rajab.All in all, ipo makini yote kwa ujumla,ingawa kama ingekuwa ni non stop ingekuwa mwake zaidi.ila powa sana, respect you guys.. keep it real ~!
Muziki ni bombaaa! Big Up!
I love this webbbbbbbbbbbbb
Great job, keep it uppppppppppppppppppppppppppppppppp!!
habari ndo hii ragatse
OMG!!!! You guys are fabulous. Nilikua nasikiliza hizi nyimbo leo mara nasikia wimbo wa my big sister wa harusi…..Jamani 20th yrs anniversary ilikua Jan 18th…..NISHIKE MKONO - Kasongo Mpinda.
Keep up the good work …Thanks so much
Kwa ufupi nawashukuru na kuwapongeza wataalam wanaohusika.
site hii inanirudisha miaka ya 70 na 80.. sekondari, chuo, mnajua tena
umefanya mambo mazuri kwa kuweka zilipendwa, pia nakuomba utuwekee pia mziki wa mwambao hasa taarab sio mipasho. kama taarab nipepee, usiku wa fadhila,miadi kitu aziz, nnazama , waridi na nyingine nyingi.
Fantastic, this is great!!!!! guys , can you guys let us know where we can buy some of the music on this blog? great Zilipendwa kwa sisi tulio mbali na nyumabni.
My E-mail is ayubissack@aol.com. shukrani taala bro!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hongera kwa waandaaji na waongozaji wa site hii, nasifu kazi yenu kweli mbarikiwe. Najiona mwenye bahati kusikiliza site hii. Pongezi na Hongera kwa mchango wenu.
Nawapa shavu sana kwa jitihada zenu, Big up!!!
Claus
Hongereni sana kwa kuthamini sana maendeleo na uhai wa mtanzania,
Do not give up we are together untill we bring all corrupt figures in system to justice.
Kumbe bongo tunaweza yani mnanikumbusha mbaliii miziki ni mizuri na kwa kwa kweli na collections yenu nimeipenda ila naomba mtutafutie oldnumbers za kizungu enzi hizo Bon em, abba group, cool n’ gang nk hapo mambo yatakuwa mazuri zaidi naomba maombi ya cc wadau wa hizi nazo myafanyie kazi pia naona maoni ya wadau wengine ni mazuri. BIG UP JF
I LOVE TANZANIA
Dah kiukweli mambo ni mazuri kutokana na kwamba mnatupa vitu vile ambavyo tunavipenda na pia ukifuatilia maoni ya kila watu waliotangulia wana maoni mazuri sana ila cha muhimu muyafanie kazi maoni hayo BIG UP TO ALL PEOPLE TO WHOM THEY VIST TO THIS WEB…………………
Naona hizi zilipendwa ni kali. Mbona mmesahau nyimbo za Mbaraka Mwinshehe, kama “Shida haina ngojangoja” na “Sembuli”. Tafadhali tuwekee hizi nyimbo sisi wapenzi wa Mbaraka Mwinshehe.
Hello WebMaster:
That stuff is off the Hizee! I really love your selections…
W.
Mambo pooooa sana hasa abisina ,inanikumbusha sauti ya Nyiboma isiyochakaa.
Twangojea playlist ingine kwa hamu.keep it up.
waziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, you make me hiiiiiiiiiiiiiii with this kind cool music kep it up guys we this relaxion ngoma here in kenya. po po.
Kwa kweli nawapa BIG-UP kuturudisha miaka ya 47 ya uhuru wa tanzania wakati ule inaitwa Tanganyika.
David Hizza
Kumbe bongo tunaweza, miziki inanikumbusha mbali sana.
This wonderful!! Hongera.
Pongezi sana kwa site hii.Mnatukumbusha mbali,lakini mnatusaidia kuacha kusubiri vipindi vya Zilipendwa vya redio.Sasa mtu unasikiliza Zilipendwa pale utakapo.Haya ndio maendeleo.Keep it up and we are waiting for the new play list.For years I have been trying to find Bameli Soy by Tabu Ley.Now I have got it.
THANKS AND KEEP IT UP
poa sana nimeipenda hii web.
Hongera sana kwa huduma zenu napenda munifahamishe jinsi ya kuzipa hususani kwenye cd pia naomba mungaliziweka nyimbo kwenye mpangilio wa bendi moja moja hata kama zitakuwa 5 au 10 baadaye nyengine zikaendelea mbele
Ahsante
Aisee hivi niko ofisini boss akipita na mie nayarudi magoma japo niko nimekaa kwenye kiti mtu akitingishika au akitingisha mguu utamjua. akitingisha kifua, au mikono utajua tu kwamba mambo ni bam bam…. nyaisanga naye aaingie humu maana naye anatukuna sana na nyingi ambazo ziko hapa….. kwenyee kipindi chake..
Thank you very much for puttimg up this.. it is wonderfu;l.
Cheers and have a nice day.
Big up! Jambo Network inapendeza kuona jitihada zenu keep it up!
Pongezi nzito(Mwajifya) kwenu Group yote ya JAMBO NETWORK -Zilipendwa.
Nawatakieni kazi njema,mafanikio bora. Muwe watulivu, busara kupitia maoni yetu wasikilizaji na kuyafanyia kazi yale yanayofaa na yanawezekana kufanywa na Ofisi yenu. ZAIDI YA HAPOZILIPENDWA HOYEEEEEEEEEEEEEE
SOLUTE wazee,Hii ni soo watu wangu,ila wekeni na zile OldHiphop,zile za enzi zetu,itakuwa BAAAAABKUBWA ZAIDI,
Hizi zilipendwa zinakumbusha miaka ya themanini nikiwa bado mdogo nikiwa mtoto, ni safi sana hizi album.
Endeleeeni na mambo mazuri kama haya ni poa kabisa ninapokuwa karibu na jambo hamna matata kama napata kile ninachotaka toka jambonet endeleeni kuleta mambo zaidi ya haya.
wow. najisikia niko bongo. nikikaa na kusikiliza miziki ya kitanzania nikiwa hapa marekani. kuweni na moyo huo huo kuitangaza nchi.
naomba maada . ninatafuta miziki ya kidini siipati .kama kuna web site . tafadhali naomba nitumieni.
Mungu ibariki TAnzania
Inajitahidi kwa kusababisha kwa sababu ina2burudisha sana watz.
Ahh Jambo radio, mnaniburudisha vizuri, mnanipa vitu vya maana mno, hasa kibao cha PIGA UA TALAKA UTATOA, aaa mnankumbusha mbali, niko huku Bondeni lakini najiskia kama niko nyumbani licha ya XENOPHOBIA YAO, Ila Jambo inaniliwazisha, Jambo tuongezee vibao zaidi jama, hivitoshi, vibao kama NDOA NDOANO, VIJANA JAZZ ORCHESTRA WANA VITU VITAMU SANA VYA ZAMANI TAFADHARI JAMA JAMBO TULETEEE MAMBO. NAWASHUKURU SANA JAMBO MENDELEE NA KAZI NJEMA HIYO, MWENYEZI MUNGU AWABARIKI SANA. AFYA NJEMA JAMA.
Jambo jambo jambo radio jama si mchezo hakuna kulala we kama ni mpenzi wa muziki wa enzi hizo usisite nenda jambo radio network, wanakupa mambo, jama
jamani Jambo kuna Bendi ilikuwa inaitwa TANCAT ALMAS ORCHESTRA hamna vibao vyao, Bandi kama NGORONGORO HEROS nyimbo kama KAMBWEMBWE,POKEA SALAMU, BENDI KAMA RUAHA JAZZ BANDI, JAMA HEBU JITAHIDI MTULETEE VITU HIVYO , ni jambo radio pekee inaweza kutuletea mambo kama hayo. Mungu ibariki Africa , Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki JAMBO RADIO kwa kai you nzuri.
Great stuff!
But why cant you guys let us download these gims and enjoy them in our ipods???
Tafadhali naomba kujuwa wapi naweza kupata hizi nyimbo zote hizi za kale, kwani zinanikumbusha mambo mengi, Tafadhali nazihitaji!!!! najihisi 2008 kama enzi zile zangu, kwani si muda wote nakaa kwenye computer na kuweza kusikiliza, napenda kusikiliza kila niendako, offisini, kwenye gari hata popote pale-sikinde,otu, remy,tabuley,Hata mwanyama wa msituni wanapenda twist-watoto wangu wanoupenda sana
Hongereni sana kwa kutuchombezea nyimbo nzuri . Tunajisikia tupo home japo tupo ughaibuni. KEEP IT UP.
Question naweza kupata wapi nyimbo hizi? Ninagraduate June 28, 2008 zimebakia week mbili naweza kupata wapi nyimbo hizi. Kama kuna website amboyo naweza kuangiza nyimbo hizi. please nijulisheni
Proud to be TANZANIA
Asanteni kwa burudani. Shukrani za ziada zimwendee rafiki yangu Ben Kimbache wa London, aliyenijulisha tovuti hii. Niko mbali na nyumbani, lakini muziki huu unanifanya nijihisi niko nyumbani Tanzania. Ni muziki murua, uliopangiliwa vema, unaonikumbusha mbali - enzi zile. Ana kweli zilipendwa, zinapendwa!
Hongereni sana kwa kutukumbusha nyimbo nzuri za zamani. Naweza kupata wapi nyimbo hizi. Hapa Dar-es-salaam
Hapa ukweli mlikaa nakufikiri nini chakuwafurahisha wateja,,kikao chenu kimefanikiwa namafanikio mmeyaona sina mengi yakusema ila natoa shukrani za dhati kutukumbusha wapi tulikua kwa miziki tunayopata furaha ilioje! ahsanteni sana.
What an entertainment you are rendering!! you all deserve a big up. is it possible to get some wonderful musics? I can not conclude a day without citing this web/ blog if you like.
Nashukuru sana kwa juhudi zenu kututumbuiza sisi wa zama. Ningeomba mtupe vibao vya orchestre Kiam, shamashama, kamale,veve na wengineo
Yaani hizi nyimbo ni bomba has in working areas we are refreshed alot,naomba mtuwekee akudo,twanga na FM academia za kumwaga.Nawatakia mafanikio mema mko creative sana
kweli mambo makubwa sana humu lakini mradi salama .
Hi there,
I want to congratulate whoever set this up.
Men I am enjoying this to the maximum.
keep up the good work.
Kweli mmefanya kazi nzuri sana……..endeleeni kuongeza zilipendwa nyingi zaidi.
mnakubalika
nawapongeza sana kwa kutuwekea nyimbo hizi za zamani kwenye web site.
ombi langu lipo kwenye jinsi ya kuzidownload na kuzihifadhi kwenye PC ili niweze kuzisikiliza wakati sipo online.
So kama kuna uwezekano naomba mnielekeze.
Kwa kweli nimewafurahia kwa burudani nzuri ya zilipendwa mjitahidi mtuboreshee na zilipendwa za taarab ziwepo nyingi kama za bolingo na nyinginezo
Naomba vibao vya bendi ya tancat arumas navyo mviweke maana jambo redio pekee ndiyo mnao konga nyoyo zetu nawafagilia kwa kazi nzuri
samahani nimekosea ni tancat almas
Hapa ndipo ninapotumia siku yangu ya mapumziko,Hongereni kwa kazi nzuri.
hii ni top notch jambo radio, ila ombi ni moja kama mkiweza kuongeza nyimbo nyingine nyingi hatutasema no;
pamoja na kulala na kufanya mazoezi kusikiliza hii radio kuanapunguza stress so keep ip up guyz
nimefurahia sana kunikumbushia enzi zetu mkuu sio siri kuna nyimbo moja hapa inanitoa machozi all we need africa.
tuna mengi ya kuifanyia africa hasa nyumban tanzania. from bangkok thai
samahani ningeomba kama ningeweza kuzipata hizi nyimbo kama zilivyo ndugu yangu.
zitatakuja zitaondoka nyie ni mwisho,wakumbushe watu kuwa ya kale dhahabu
THANKS ALL BOGOS 4 ZILIPENDWA.MIMI NIKO HAPA. RAIA WA CANADA.
BUT NYIMBO ZIMENIRUDISHA .MWAKA 1977 AT IHUNGO SEC.BUKOBA
TANZANIA.TUKIJIMWAGA NA TOTOS ZA RUGAMBWA. GOD BLESS ALL.
kuna huyu bwana anaitwa MSHASHO the DOGG kutoka Namibia alikuwa kwenye Channel O award kama mna tracks zake tafadhari naomba mzipachike mahali ili wapenzi tuburudike.
Tunashukuru sana kwa nyimbo hizi kwani zina ujumbe muhimu sana katika maisha yetu haya,pia zina tukumbusha muziki wa kiafrika hasa Afrika ya mashariki kipindi/enzi za baba zetu.
Hongereni kwa kazi nzuri,Godfrey Alban,Western Cape,RSA.
Big up webmaster.
The idea of having this old music site for old and middle age like me is extremely good, keep it up.
But it will be ideal to tell us where to get a copy of these golden old songs, this is b’se sometimes when network is down you won’t enjoy as aimed.
So like others said, help us by informing where physically we can get a copy of these nice collections.
Thank you very much for being creative and socially.
nimeshindwa kuvumilia jamani, nimejikuta machozi yananitoka, nimekumuka mbali sana jamani, aah wee acha tu.
Nimekumbuka maisha ya miaka 80 tukiwa tumezungukwa na umaskini ambao siwezi kuusahau na nyimbo kama hizi tunazisikiliza kwa majirani maana hata radio hatukuwa nayo
i loooove this website