Nzela – The B Band
July 16, 2008
Blogsphere: TechnoratiFeedsterBloglines
Bookmark: Del.icio.usSpurlFurlSimpyBlinkDigg
RSS feed for comments on this post | TrackBack URI for this post
Comments
8 Responses to “Nzela – The B Band”
Got something to say?


jamaa kakomaa kinoma.
big up bro!!!we get yo message,we nid this song till 2moro…..
Naupenda sana umekaa ki_tanzania, zaidi schoki kuuskia. Elia wa atoz arusha
unanijaaaaaaaaaaziiiiiiiiii mimi bongo damu. I ngawa ninavumilia kuwa mkenya.Agushe kisumu city.
mimi namkubali sana huyu jamaa .lakini mapozi yamekuwa mengi unajua msanii ni kioo katika jamii kwa hiyo tunaitaji kujifunza mambo mengi kutoka kwako
mziki umekolea sana kijana amekua mtu mzima kwa kazi ya mziki
Hii Miziki ni mizuri kwa kweli mungu awabariki tu
Mnatumbusha mbali kweli