Natamani - MB Dog
July 16, 2008
Blogsphere: TechnoratiFeedsterBloglines
Bookmark: Del.icio.usSpurlFurlSimpyBlinkDigg
RSS feed for comments on this post | TrackBack URI for this post
Comments
7 Responses to “Natamani - MB Dog”
Got something to say?


nyimbo ipo poa nakumbuka sana bongo ninapoisikiliza hii nyimbo namkumbuka sana mshikaji wangu madee .
nakuwaminia mzee kaza buti hii nyimbo nanikumbusha mbali sana yaani nikiisikiliza huwa nakumbuka bongo mazee niko ndani ya ilala mtaa wa arusha kwa uwesu mapweza hehehe>
Big up sana MB DOG.nyimbo ipo poa sana.umefunika ile mbaya.
Naona raha naona raha naona kaka wimbo umetulia kinoma noma big up mazee .
wimbo mzuri sana tu MB Dog ila kata kucha bana na pia hizo nywele mmh mie sichemi ki2 pia natamani yako sio kama kivile mtu wangu sikufichi ukilinganisha na Ratifa, siamini na nyinginezo kifupi karibu albam nzima ilifunika okey big up .
ebwane song la mchizi mb dog (natamani) kwa kweli limebamba sana nampa bonge la shavu andelee kukamua hivyo hivyo.
YEAH!!!!!
BONGE LA SONG NI ”KITU GANI KINACHOKUSUMBUA ” SEMA NITAKUPATIA”
POA MZEE MADEE NAKUKUBALI MZEE VESI ZAKO ZIMEENDA SHULE.