Hao – Mwasiti Ft. CHidi Benz

July 16, 2008



Blogsphere: TechnoratiFeedsterBloglines
Bookmark: Del.icio.usSpurlFurlSimpyBlinkDigg
RSS feed for comments on this post
 |  TrackBack URI for this post

Comments

38 Responses to “Hao – Mwasiti Ft. CHidi Benz”

  1. SaLaMa on July 17th, 2008 10:49 am

    katika wimbo huu napenda sana Shidi Benzino sio utani wimbo mzuri safi sana .

  2. rahim on July 18th, 2008 12:27 am

    huyu dada hanajua kuimba sana na hii nyimbo ipo sana na mzee wa kushirikishwa kanata vizuri na yupo fiti sana.

  3. big lwizo on July 18th, 2008 9:19 am

    chid benz mwanangu umemaliza.

  4. PAUL on July 22nd, 2008 7:14 pm

    SIO SILI WIMBO HUU UMETULIA. NAPENDA WASHILIKI WOTE WALIVYO SHILIKI.

  5. ngai on July 29th, 2008 5:56 am

    Chid Mzee nimekukubali bonge la song mwanagu ,big up mzee pamoja na Mwasit
    Sauti yatoa nyoka pangoni hiyooo,Haooooo.

  6. no quire on July 30th, 2008 12:45 pm

    jamaa katulia mbaya na huyo sister kakamatakinoma

  7. no quire on July 30th, 2008 12:49 pm

    JAMAA NI NOMA KISHENZI YANI

  8. kadanje on July 30th, 2008 9:52 pm

    Mzee chidi nakupa big up katika ili song umeonyesha uwezo

  9. kadanje on July 30th, 2008 9:54 pm

    Mwasiti sauti yako imetulia

  10. David on August 4th, 2008 10:24 am

    Mwasiti we balaaa! Chidi naomba hiyo style ya kufoka uciache una bamba balaaaa!

  11. johnstone on August 4th, 2008 6:52 pm

    kweli nyimbo iko njema chi chi chi chidi benzi ni noma

  12. Namy on August 7th, 2008 9:13 am

    Huu wimbo umesimama yaani kwanza ujumbe umetulia sana unaendana na wakati tuliopo lakini pia waimbaji, namaanisha Chid na Mwasiti wametulia sauti zao zinaendana na wimbo yani big up sana, sometimes sioni sababu ya kusikiliza nyimbo from outside TZ wakati TZ vichwa vya muziki vipo,ndio kama hivi hapa.

  13. Nic on August 11th, 2008 2:25 pm

    This is in-credible

  14. sophy on August 12th, 2008 7:50 am

    yani ni noma

  15. mfangavo on August 13th, 2008 3:13 pm

    ninoma jamaa kasimamama ile mbaya na mwa siti katulia pia nyimbo hiii inaweza kusimama chanel O

  16. Daydreamer on August 27th, 2008 8:36 pm

    Yaani sijui niseme nn…..yaani nibomba mbaya bonge la jimbo never seen an hear b4………….kip it up guys.

  17. polyn on August 28th, 2008 6:24 am

    chidi wee mkali,yaani balaa ucnibonyezee,hata dishizo wa kilvya anakukubali

  18. alex on August 31st, 2008 11:52 am

    chidi unatisha! its true that you are unmeasurable with freestyle crown.

  19. Teddy on September 3rd, 2008 12:35 pm

    Keep it up mwasiti and chidi, song is great!

  20. furaha maugo on September 11th, 2008 12:43 pm

    yani ucnipmie wimbo ume2lia ile mbaya mwasiti na chidi nawafagalia mbaya,kwani ujumbe umefika kwa wanafki na wanoknok

  21. james mcharo on September 11th, 2008 12:46 pm

    big up mwacti&chid benz mwimbo umetulia mbaya nakukumbuka enzi zile unaperform club billicanas kabla ujatoka but now haukamatiki

  22. ROSE on December 30th, 2008 10:48 am

    Heeeeeeeeeeeeeeee nimeipenda sauti ya mwasiti imepangiliwa na ujumbe pia.keep on it baby.

  23. Zongo on January 2nd, 2009 6:51 am

    Mgeni(Mwasiti) weeeeeee hapo nimekukubali.Hilo song linaujumbe wa kutosha kabisa hamna ubish kasisa.Kwa 100 % hauna mpinzani endeleza moto huo huo usiwe moto wa kifuu,Najua THT inawasaidia sana mtu wangu.Keep in touch mtu wangu

  24. JOSIE on January 7th, 2009 1:15 pm

    i luv u mwasiti

  25. mallah on February 27th, 2009 12:17 pm

    Big up sana vijana wangu mpo juu zaida ya tawi keep it up guyz.

  26. nayla on March 1st, 2009 4:18 pm

    nice song n ur so nice keep it up

  27. assady555 on April 16th, 2009 11:57 am

    chid anaweza lakini ache zake za chi chi chi anaharibu nyimbo za watu

  28. Ray on July 27th, 2009 5:07 pm

    Wakisema mziki mnene bila shaka huu wimbo upo ndani kama moja ya mfano huo.La-familia imepeleka mziki wa kizazi kipya wingu la tisa kandamiza chidi.

  29. josiah on September 22nd, 2009 10:32 am

    nipo kenya na tangia 1997 nimekua nikizienzi nyimbo za TZ. hivi sasa chidi ni mzazi wa wazazi na mtu mzima kwa ngoma za bongo. chidi, nakupenda. endelea

  30. BARAKA STEVEN on October 24th, 2009 6:44 pm

    HUU WIMBO NI SOOOOOOOOOOOO!

  31. Hameem Hassan on December 4th, 2009 10:00 pm

    I love the song & the artistes

  32. kizo b on January 19th, 2010 6:15 pm

    niaje mwasiti,,ni8 mudi yoyo,,uko ju tu sana …wape mijusi wa tht salam kina shebo

  33. kisabo lau on February 10th, 2010 10:45 pm

    nimependa hii song ya mwasiti na sauti yahuyu mshikanji inaniuwa kichinzi from best

  34. jerry mapunda on February 28th, 2010 1:36 pm

    mmmh! hao watu wameniachanisha na ma g-friend so ilo bonge la ujumbe ila nikipata dem mwingine,kuna aliye tayari?

  35. frank o. lungwa on March 12th, 2010 4:25 pm

    chid sina mengi mana uko juu sana guys kaza buti

  36. FRANK O.LUNGWA NIPO SAMBAMBA NA REY on May 11th, 2010 4:37 pm

    WIMBO HAUFAI KABISA KWANZA HAMJUI KUIMBA MNABOA TU.INAELEKEA MLIKOSA KAZI YA KUFANYA MKAAMUA KUINGIA STUDIO KUFANYA UTUMBO WENU HUU.

  37. saidi on June 3rd, 2010 3:21 am

    nyimbo hiyi i wi’ll say is great guy

  38. saidi on June 3rd, 2010 3:25 am

    chid that is great i like people like that ukoju u sana kaka ucan find me in facebook sadihussein

Got something to say?