Hao – Mwasiti Ft. CHidi Benz
July 16, 2008
Blogsphere: TechnoratiFeedsterBloglines
Bookmark: Del.icio.usSpurlFurlSimpyBlinkDigg
RSS feed for comments on this post | TrackBack URI for this post
Comments
38 Responses to “Hao – Mwasiti Ft. CHidi Benz”
Got something to say?


katika wimbo huu napenda sana Shidi Benzino sio utani wimbo mzuri safi sana .
huyu dada hanajua kuimba sana na hii nyimbo ipo sana na mzee wa kushirikishwa kanata vizuri na yupo fiti sana.
chid benz mwanangu umemaliza.
SIO SILI WIMBO HUU UMETULIA. NAPENDA WASHILIKI WOTE WALIVYO SHILIKI.
Chid Mzee nimekukubali bonge la song mwanagu ,big up mzee pamoja na Mwasit
Sauti yatoa nyoka pangoni hiyooo,Haooooo.
jamaa katulia mbaya na huyo sister kakamatakinoma
JAMAA NI NOMA KISHENZI YANI
Mzee chidi nakupa big up katika ili song umeonyesha uwezo
Mwasiti sauti yako imetulia
Mwasiti we balaaa! Chidi naomba hiyo style ya kufoka uciache una bamba balaaaa!
kweli nyimbo iko njema chi chi chi chidi benzi ni noma
Huu wimbo umesimama yaani kwanza ujumbe umetulia sana unaendana na wakati tuliopo lakini pia waimbaji, namaanisha Chid na Mwasiti wametulia sauti zao zinaendana na wimbo yani big up sana, sometimes sioni sababu ya kusikiliza nyimbo from outside TZ wakati TZ vichwa vya muziki vipo,ndio kama hivi hapa.
This is in-credible
yani ni noma
ninoma jamaa kasimamama ile mbaya na mwa siti katulia pia nyimbo hiii inaweza kusimama chanel O
Yaani sijui niseme nn…..yaani nibomba mbaya bonge la jimbo never seen an hear b4………….kip it up guys.
chidi wee mkali,yaani balaa ucnibonyezee,hata dishizo wa kilvya anakukubali
chidi unatisha! its true that you are unmeasurable with freestyle crown.
Keep it up mwasiti and chidi, song is great!
yani ucnipmie wimbo ume2lia ile mbaya mwasiti na chidi nawafagalia mbaya,kwani ujumbe umefika kwa wanafki na wanoknok
big up mwacti&chid benz mwimbo umetulia mbaya nakukumbuka enzi zile unaperform club billicanas kabla ujatoka but now haukamatiki
Heeeeeeeeeeeeeeee nimeipenda sauti ya mwasiti imepangiliwa na ujumbe pia.keep on it baby.
Mgeni(Mwasiti) weeeeeee hapo nimekukubali.Hilo song linaujumbe wa kutosha kabisa hamna ubish kasisa.Kwa 100 % hauna mpinzani endeleza moto huo huo usiwe moto wa kifuu,Najua THT inawasaidia sana mtu wangu.Keep in touch mtu wangu
i luv u mwasiti
Big up sana vijana wangu mpo juu zaida ya tawi keep it up guyz.
nice song n ur so nice keep it up
chid anaweza lakini ache zake za chi chi chi anaharibu nyimbo za watu
Wakisema mziki mnene bila shaka huu wimbo upo ndani kama moja ya mfano huo.La-familia imepeleka mziki wa kizazi kipya wingu la tisa kandamiza chidi.
nipo kenya na tangia 1997 nimekua nikizienzi nyimbo za TZ. hivi sasa chidi ni mzazi wa wazazi na mtu mzima kwa ngoma za bongo. chidi, nakupenda. endelea
HUU WIMBO NI SOOOOOOOOOOOO!
I love the song & the artistes
niaje mwasiti,,ni8 mudi yoyo,,uko ju tu sana …wape mijusi wa tht salam kina shebo
nimependa hii song ya mwasiti na sauti yahuyu mshikanji inaniuwa kichinzi from best
mmmh! hao watu wameniachanisha na ma g-friend so ilo bonge la ujumbe ila nikipata dem mwingine,kuna aliye tayari?
chid sina mengi mana uko juu sana guys kaza buti
WIMBO HAUFAI KABISA KWANZA HAMJUI KUIMBA MNABOA TU.INAELEKEA MLIKOSA KAZI YA KUFANYA MKAAMUA KUINGIA STUDIO KUFANYA UTUMBO WENU HUU.
nyimbo hiyi i wi’ll say is great guy
chid that is great i like people like that ukoju u sana kaka ucan find me in facebook sadihussein