Enzi Zetu – Mh. Temba

July 16, 2008



Blogsphere: TechnoratiFeedsterBloglines
Bookmark: Del.icio.usSpurlFurlSimpyBlinkDigg
RSS feed for comments on this post
 |  TrackBack URI for this post

Comments

16 Responses to “Enzi Zetu – Mh. Temba”

  1. rahim on July 18th, 2008 12:00 am

    temba nakuaminia sana nyimbo ipo poa sana kaza buti wewe kweli kichwa

  2. aloys bizimana(B.A) on July 22nd, 2008 2:32 am

    kaza buti baba hico kichwa kwani nyimbo zako zimekaa poa.

  3. ally tony on August 3rd, 2008 8:59 pm

    aaah haayaaah bwana msimamo ni ule ule toka juu na chini mh Temba sina la dhiada kinukta ni kimya kimya …,,,,,ogopa hicho kichwa yaani! Kikalii toka long ago kipwenti BIG UP sanaaa//////..,,”’

  4. Abbou Barnes on August 5th, 2008 9:41 am

    Mwanangu Temba Hapa Umechana Saaaana I Like Ur Style Wajukuu Na Babu Dah Mwanangu We Kichwa Mjukuu Nae Kachana Si Mchezo BIG UP MCHIZI WANGU !!!

  5. kadanje on August 6th, 2008 2:37 pm

    Mh. temba nakupa big up kwa song lako la enzi zetu kweli wewe ni mtz halisi unaependa sanaa ya bongo iendelee hasa mziki wa kizazi kipya kwa kuonyesha jinsi gani mziki wa sasa unavyoendelea .EBWANE endelea kukamua hivyohivyo ucogope mungu yuko na wewe.

  6. Mheshimiwa HITIMANA J.Berchimas on December 22nd, 2008 9:22 am

    Mh.Temba huyooo!!!! Mshikaji ye nalisapoti kwa kweli hili songi la kutukumbusha enzi zetu hata na style yako.

  7. eliashatugimana on April 16th, 2009 2:49 am

    kwanini sioni music ya mh temba kwanini hatuoni kweye Internent bona kwajuwanini hatuoni tembb?

  8. uweso japan on April 25th, 2009 2:46 pm

    BIG UP MUESHIMIWA TEMBA najua unaweza jeshi lako unariongoza nyimbo kari kinyama mtu wangu kaza

  9. BAB JEFF on April 25th, 2009 2:50 pm

    Baab kubwa aisee nyimbo inavuta hisia alafu inakahistory, ukija kwenye kiitikio ndo usiseme burudaani kabisa hauchoki kuisikiliza. nategemea nyingine zaidi ya hiyo.

  10. eliashatugimana on May 3rd, 2009 8:44 am

    nataka ku uriza swari mja sasa bona hatuoni mh temba music yake namufagiria sana ananimbia nyimbo nafurahi sana and you friend chege he sing good need listen for chege i need send my email thank u

  11. eliashatugimana on May 4th, 2009 4:23 am

    i love this song

  12. Leonard Jeremiah on June 13th, 2009 10:22 am

    Niaje mheshimiwa?ebwana mi nakukubali kinoma mwana.kaza buti achana na wa2 wanaokuletea fitna bob.we nikama Kanye wa bongo.fanya kazi mwana.

  13. Evelius john on July 7th, 2009 11:50 am

    YOU ARE SO MUCH GOOD IN MUSIC KEEP IT UP MY DEAR\
    HAVE A NICE WORK AND LET GOD BE WITH YOU IN YOUR WORK

  14. KIGASSU on November 11th, 2009 6:12 pm

    Muheshimiwa ukweli mpanglio wa nyimbo zako umevunja rikodi. Maana unapanga mistari sawa na utashi wa wasilikilizaji. Loh….!! Unastahili sifa tele. Kuimba bila shaka ni kipaji chako, na wala sio kubahatisha kama wanavyoweza kufukiria wengi. Kaza buti, bwana mkubwa.

  15. frank o. lungwa on March 12th, 2010 4:19 pm

    sauti yako mchizi inakutofautisha kabisa na wasanii wengine.kwa hiyo wewe nimsanii wa pekee kabisa.kaza buti temba.

  16. FRANK O.LUNGWA NIPO SAMBAMBA NA REY on May 11th, 2010 4:25 pm

    E BANA KIMSINGI UKO JUU .PINI IMETULIA ILE MBAYA.ILA KAZA BUTI MZEE USIBWETEKE NA MISIFA ITAKUMALIZA KISANII.NI HAYO TU MTU MZIMA .KILA LA KHERI KWENYE GAME ,CHAOOOOOOOO.

Got something to say?